MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,390
Leo ndio leo, Watani wa jadi wanakutana katika mechi ya ligi kuu mzunguko wa pili, Yanga akiwa mwenyeji wa mchezo huu.
Yanga rekodi inambeba na wachambuzi wengi wanampa uwezekano mkubwa wa kushinda katika mchezo wa leo huku ikizingatiwa tangu kocha Mwinyi Zahera aje Yanga haijawahi kupoteza mchezo wowote kwa idadi kubwa ya magoli.
Kocha Patricks Aussem amekuwa na wakati mgumu na timu ya Simba baada ya kupata vipigo kadhaa mfululizo huku akipigwa goli 10 katika mechi 2 klabu bingwa.
UPDATE
MIDA YA SAA 4 ASUBUHI JESHI LA POLISI NA VYOMBO VYA USALAMA wanawakatalia wazee watatu wa Simba kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji hasa baada ya kushindwa kutoa maelezo wanaenda kufanya nini vyumbani humo.
UPDATES: VIKOSI RASMI.
SIMBA: Aishi Manula, Zana Coulibaly, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid, Serge Wawa, James Kotei, Clatous Chama, Jonas Mkude, John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi.
Benchi: Deo Munishi ‘Dida’, Nicholas Gyan, Yussuf Mlipili, Muzamil Yassin, Haruna Niyonzima, Hassan Dilunga na Rashid Juma.
Bechi la Ufundi; Kocha Mkuu, Patrick Aussems; Msaidizi Dennis Kitambi; Kocha wa mazoezi ya viungo, Mtunisia Adel Zrane; Kocha wa Makipa, Muharami Mohammed; Meneja Patrick Rweyemamu; Mtunza Vifaa, Hamisi Mtambo na Daktari Yassin Gembe.
YOUNG AFRICANS: Ramadhani Kabwili, Paulo Godfrey ‘Boxer’, Gardiel Michael, Andrew Vincent ‘Dante’, Kelvin Yondan, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Papy Kabamba Tshishimbi, Heritier Makambo, Amissi Tambwe na Ibrahim Ajibu.
Benchi: Klaus Kindoki, Juma Abdul, Said Juma ‘Makapu’, Haruna Moshi ‘Boban’, Mohammed Issa ‘Banka’, Mrisho Ngassa na Matheo Anthony.
Benchi la Ufundi: Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera; Msaidizi Noel Mwandila; Kocha wa Makipa Juma Pondamali; Meneja Nadir Haroub ‘Cannavaro’; Mratibu Hafidh Saleh; Daktari Edward Bavu na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar ‘Mpogolo’.
MAPUMZIKO
Takwimu za kipindi cha kwanza zinaonesha hakuna shuti lolote lililolenga lango kwa timu zote mbili.
Dakika ya 71: Gooooooallllllllll ni Meddie Kagere
Yuleyule aliyeimaliza Al Ahly Meddie Kagere ameitanguliza Simba kwa bao la kuongoza alilofunga kwa kichwa akimaliza kazi nzuri ya John Bocco.
MPIRA UMEISHA
Yanga rekodi inambeba na wachambuzi wengi wanampa uwezekano mkubwa wa kushinda katika mchezo wa leo huku ikizingatiwa tangu kocha Mwinyi Zahera aje Yanga haijawahi kupoteza mchezo wowote kwa idadi kubwa ya magoli.
Kocha Patricks Aussem amekuwa na wakati mgumu na timu ya Simba baada ya kupata vipigo kadhaa mfululizo huku akipigwa goli 10 katika mechi 2 klabu bingwa.
UPDATE
MIDA YA SAA 4 ASUBUHI JESHI LA POLISI NA VYOMBO VYA USALAMA wanawakatalia wazee watatu wa Simba kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji hasa baada ya kushindwa kutoa maelezo wanaenda kufanya nini vyumbani humo.
UPDATES: VIKOSI RASMI.
SIMBA: Aishi Manula, Zana Coulibaly, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid, Serge Wawa, James Kotei, Clatous Chama, Jonas Mkude, John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi.
Benchi: Deo Munishi ‘Dida’, Nicholas Gyan, Yussuf Mlipili, Muzamil Yassin, Haruna Niyonzima, Hassan Dilunga na Rashid Juma.
Bechi la Ufundi; Kocha Mkuu, Patrick Aussems; Msaidizi Dennis Kitambi; Kocha wa mazoezi ya viungo, Mtunisia Adel Zrane; Kocha wa Makipa, Muharami Mohammed; Meneja Patrick Rweyemamu; Mtunza Vifaa, Hamisi Mtambo na Daktari Yassin Gembe.
YOUNG AFRICANS: Ramadhani Kabwili, Paulo Godfrey ‘Boxer’, Gardiel Michael, Andrew Vincent ‘Dante’, Kelvin Yondan, Abdallah Shaibu ‘Ninja’, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Papy Kabamba Tshishimbi, Heritier Makambo, Amissi Tambwe na Ibrahim Ajibu.
Benchi: Klaus Kindoki, Juma Abdul, Said Juma ‘Makapu’, Haruna Moshi ‘Boban’, Mohammed Issa ‘Banka’, Mrisho Ngassa na Matheo Anthony.
Benchi la Ufundi: Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera; Msaidizi Noel Mwandila; Kocha wa Makipa Juma Pondamali; Meneja Nadir Haroub ‘Cannavaro’; Mratibu Hafidh Saleh; Daktari Edward Bavu na Mtunza Vifaa, Mohammed Omar ‘Mpogolo’.
MAPUMZIKO
Takwimu za kipindi cha kwanza zinaonesha hakuna shuti lolote lililolenga lango kwa timu zote mbili.
Dakika ya 71: Gooooooallllllllll ni Meddie Kagere
Yuleyule aliyeimaliza Al Ahly Meddie Kagere ameitanguliza Simba kwa bao la kuongoza alilofunga kwa kichwa akimaliza kazi nzuri ya John Bocco.
MPIRA UMEISHA