Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,691
- 5,451
VS
Ni miezi mitatu imepita toka ligi yetu pendwa isimamishwe kutokana na janga la corona.
Ni rasmi sasa kesho ligi inakwenda kuendelea ili kumalizia mechi zilizobakia, miamba kutoka mkoani Shinyanga Mwadui fc watakapo wakaribisha mabingwa wa kistori wa ligi kuu Tanzania bara, Dar young Africans.
Utabiri wangu mechi hii ni ngumu sana inakwenda kuisha kwa sare ya kutofungana.
👇👇👇👇👇👇
Ni miezi mitatu imepita toka ligi yetu pendwa isimamishwe kutokana na janga la corona.
Ni rasmi sasa kesho ligi inakwenda kuendelea ili kumalizia mechi zilizobakia, miamba kutoka mkoani Shinyanga Mwadui fc watakapo wakaribisha mabingwa wa kistori wa ligi kuu Tanzania bara, Dar young Africans.
Utabiri wangu mechi hii ni ngumu sana inakwenda kuisha kwa sare ya kutofungana.
👇👇👇👇👇👇