Ligi Kuu Bara: Yanga FC 0 Vs 1 Ruvu Shooting

Hazard CFC

JF-Expert Member
Apr 7, 2015
16,615
38,588
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RUVU SHOOTING LEO.

1. Farouk Shikalo
2. Mustafa Selemani
3. Ali Abdulkarim
4. Kelvin Yondani
5. Lamine Moro
6. Papy Tshishimbi
7. Juma Balinya
8. Feisal Salum
9. David Molinga
10. Sadney Khoetage
11. Patrick Sibomana

SUBS
Metacha Mnata
Ali Ali
Muharami Issa
Mapinduzi Balama
Mohamed Issa
Mrisho Ngassa
Mybin Kalengo

Kauli ya Mwinyi Zahera

"Nimewaambia wachezaji wote wapya kwamba hakuna hata siku moja Yanga inacheza mechi nyepesi, mechi zote ni ngumu "

Tukatane baadae

Daima mbele nyuma mwiko

Wawakilishi pekee waliobaki kuiwakilisha tanzania kwenye club bingwa africa.
FB_IMG_1566981263525.jpeg
FB_IMG_1566981184317.jpeg
 
Mapinduzi Balama na Mohamed Issa 'Banka' hawana sifa ya kukaa benchi. Fei Toto ana sifa zote za kuanzia nje. Ila naheshimu uamuzi wa mwalimu.
Nadhani mwalimu kawaweka nje mambo yakiwa magumu waingie wakapindue tokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom