Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,464
- 2,884
ndg yetu moga Sana maeneo hayo ukiwa dereva ndo unahitaji kukutana nayo kuthibitisha umaridadi wako uwapo mbele ya abiriaAsante
RTO akijifanya mjuaji anahamishwa kituo unacheza na mkono wa biashara ya usafirishaji hawatakia tayari kumwachaSi umeona hata dereva wa Sauli hajakamatwa na RTO, kakamatwa na waziri
Hatari sanaRTO akijifanya mjuaji anahamishwa kituo unacheza na mkono wa biashara ya usafirishaji hawatakia tayari kumwacha
Umahiri wa dereva unapimwa kwa maamuzi magumu anayoyafanya na kuibuka akiwa salama saliminindg yetu moga Sana maeneo hayo ukiwa dereva ndo unahitaji kukutana nayo kuthibitisha umaridadi wako uwapo mbele ya abiria
Iache iendeSisi wanazi scania ndo wimbo.
Chuma la wana... step uchague.... masaa sanaa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yaani basi inatoka DSM saa 12 alfajiri,inafika Mbeya karibia saa moja usiku,ni zaidi ya masaa 12+ barabarani kwa umbali wa kama kilometa 790 hadi 800 na bado unasema dereva amekimbia sana??
Mabasi ni ya kisasa kabisa, miundombinu imeboreshwa vizuri tofauti kabisa na miaka ya 90 huko kweli kuna kitu cha kushangaza hapo?
Sehemu ipi hatarishi kwa njia ya Mbeya ukiitoa hapo Iyovi,Kitonga?
Wanatembea mwendo wa kawaida tu tusiwafitinishe bhana
Gemilang noma sana, kitu ina air suspension booster, sio mbavu za tembo za mchina