Liganga/ Mchuchuma deal of Tshs 10 trillion Bunge iliridhia mkataba? au ndio yaleeeee

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,813
16,642
tunasikia tu, Liganga/Mchuchuma iron core deal investor kweka up to tshs 10 trillion,
je mkataba nani anujua? mbona mambo ya siri za mikataba bado ni kitendawili? na hapa wana sema 50% serikali na investor watagawana that sounds good but kila mkataba unapoanza utasikia maneno matamu ya 50% share, je mkataba unasemaje? is their hiden costs? utakuta tunapata 26% bcoz of these hiden costs, tunataka mikataba ya wazi, Bunge lijue na lipitie mikataba, ujue kuna uongo hapo hapo waziri kasema eti mradi wa coal wa Ngaka wa Ruvuma Serikali itapata 30% hawa Pacific corporation east africa 70%(mara ya kwanza kusikia hii kampuni, nime google ipo ila haieleweki, ) kivipi? hapa tumeliwa subirini muone, period
 
Bajeti ya Tanzania ni 11 Tillion, sasa itakuwa ni maajabu ya Mussa kwa mambo tunavyoyajua Bongo sisi kupata hiyo 50 % ukichukulia kuwa hatuna huo uwezo wa kinvest that much. Vilevile ukichukulia mikataba mingine iliyokwisha kamilika. Unless this time tumepata wawekezaji mazzuzuz kama sisi wenyewe.
 
kwanza mkataba huu nahisi hata bunge halijapitia, of which bunge lilipendekeza lipitia contracts zote kubwa kabla ya kuidhinisha,
utaona maajabu wait
 
kwanza mkataba huu nahisi hata bunge halijapitia, of which bunge lilipendekeza lipitia contracts zote kubwa kabla ya kuidhinisha,
utaona maajabu wait

Mpaka sasa sidhani kama bunge lina uwezo huo wa kupitia mikataba ya serikali............ Inashangaza kwa vile Bunge linauwezo wa kutunga na kubadili sheria lakini wameshindwa kujipatia wao wenyewe mamlaka ya kufanya hivyo...................KISA mapenzi yao kwa CCM.
 
Hii ni ajabu kweli. Waziri anataja kiwango cha uwekezaji bila kumtaja mwekezaji na The Citizen wanaandika tu. Bunge halijajadili uwekezaji huu. Hii itakuwa ni single biggest invesment into the country na ni ajabu sana kuwa mkataba unaweza kuwa umesainiwa bila hata press conference leave alobe Bunge kuambiwa.

Wajiandae kwenda mahakamni tu maana Bunge litawaambia wauvunje. Hawa jamaa hawajifunzi.
 
Bajeti ya Tanzania ni 11 Tillion, sasa itakuwa ni maajabu ya Mussa kwa mambo tunavyoyajua Bongo sisi kupata hiyo 50 % ukichukulia kuwa hatuna huo uwezo wa kinvest that much. Vilevile ukichukulia mikataba mingine iliyokwisha kamilika. Unless this time tumepata wawekezaji mazzuzuz kama sisi wenyewe.

Katika uwekezaji sio lazima sisi tuweke fedha hizo lakini equity yetu itakuwa ni Rasilimali yetu. Mchucuma na Liganga ni strategic resource kuiacha kwa mwekezaji pekee. Kama kweli tuna 50% ni ishara nzuri. Hata hivyo kwani nini iwe siri iwapo the story is that good?
 
Hii ni ajabu kweli. Waziri anataja kiwango cha uwekezaji bila kumtaja mwekezaji na The Citizen wanaandika tu. Bunge halijajadili uwekezaji huu. Hii itakuwa ni single biggest invesment into the country na ni ajabu sana kuwa mkataba unaweza kuwa umesainiwa bila hata press conference leave alobe Bunge kuambiwa.

Wajiandae kwenda mahakamni tu maana Bunge litawaambia wauvunje. Hawa jamaa hawajifunzi.

Bunge lenyewe hili la ccm (na washirika wao ndani ya upinzani - CUF, TLP, NCCR + Zitto Kabwe) halitafanya chochote hapa
 
Hii ni ajabu kweli. Waziri anataja kiwango cha uwekezaji bila kumtaja mwekezaji na The Citizen wanaandika tu. Bunge halijajadili uwekezaji huu. Hii itakuwa ni single biggest invesment into the country na ni ajabu sana kuwa mkataba unaweza kuwa umesainiwa bila hata press conference leave alobe Bunge kuambiwa.

Wajiandae kwenda mahakamni tu maana Bunge litawaambia wauvunje. Hawa jamaa hawajifunzi.

Thanks
hata sisi tunashangaa waziri anasema tu bila kuweka wazi who is investor? where is contract?, what it says?, na ajabu waziri anatamka easily ni 50% share each, i repeat easily, kwanza waziri si mtaalam wa contract wa such a huge investment, na kingine ambacho kinakuja ni Uranium, itakuwa hivi hivi, bunge halitajua, wananchi watabaki wakisoma magazetini, what are all these? Are we still hiding hizi contracts na huko ndio wizi mkubwa unafanyika? Bunge limeshapiga kelele hadi basi ila serikali inafanya itakavyo, Bunge lijalo liwe makini sana, na hapa namaana CDM MPs si wengine we trust you, ni CDM pekee itatusaidia msijali uchache wenu, tena sasa mpo wengi compare na bunge lililopita, uchache si hoja
 
Bunge lenyewe hili la ccm (na washirika wao ndani ya upinzani - CUF, TLP, NCCR + Zitto Kabwe) halitafanya chochote hapa

No hapa tunaongelea kutokuwepo kwa uwazi wa mradi huu, is not personal matters, plse
 
kweli mkuu?
personal matters ziko wapi kwenye post yangu?

what i see Zitto kachangia vizuri tu, him as human being he has some shortcomings, hata mm nilimshambulia sana last week, but ww hapo ukamponda kichwa Zitto kwa Zitto just to comment, slow bana, we are talking of 10 trillion man, imagine...!!!!!!!
 
Hapo kuhusu mradi wa chuma na makaa ya mawe tuwe makini na hawa majuha.Kwani wanachosema sio wanachotenda na wanachotenda sio walichosema. Hivyo inatakiwa wabanwe kupitia bunge.Na wanakasera kao kuwa mkataba ni siri ya nchi hivyo haitakiwi uwe wazi ili kuficha madudu. Sasa wanapo sema siri ya nchi, nchi si inaundwa na wananchi hivyo watuwekee siri zetu wazi tujue kupitia bunge.HIVYO NA HUO MKATABA UWEKWE WAZI SIO USANII WA MANENO TU AMBAYO HAYANA UHAKIKA WOWOTE.
 
what i see Zitto kachangia vizuri tu, him as human being he has some shortcomings, hata mm nilimshambulia sana last week, but ww hapo ukamponda kichwa Zitto kwa Zitto just to comment, slow bana, we are talking of 10 trillion man, imagine...!!!!!!!

nimekuuliza uoneshe personal attack dhidi ya Zitto na umekwepa.

Anyway, sasa ngoja nimjadili Zitto kama yeye na pia kama mbunge ili unachosema kiwe na maana.

Zitto ni mbunge wa bunge la JMT. Zitto aliua mbinu za watanzania kubadili mikataba ya madini. Zitto ni kipenzi kikubwa cha Kikwete ambaye serikali yake inasaini mikataba ya kipuuzi kama hii. Zitto anatumia na serikali ya ccm kusambaratisha upinzani. Bado unategemea bunge la Zitto na yule mchawi wa ccm (prof maji marefu) litafanya chochote?

Hizo trilioni kumi, Zitto atakatiwa percent yake, Kikwete ataweka maji jimboni kwa ZItto, na mchezo utakwisha.
 
nimekuuliza uoneshe personal attack dhidi ya Zitto na umekwepa.

Anyway, sasa ngoja nimjadili Zitto kama yeye na pia kama mbunge ili unachosema kiwe na maana.

Zitto ni mbunge wa bunge la JMT. Zitto aliua mbinu za watanzania kubadili mikataba ya madini. Zitto ni kipenzi kikubwa cha Kikwete ambaye serikali yake inasaini mikataba ya kipuuzi kama hii. Zitto anatumia na serikali ya ccm kusambaratisha upinzani. Bado unategemea bunge la Zitto na yule mchawi wa ccm (prof maji marefu) litafanya chochote?

Hizo trilioni kumi, Zitto atakatiwa percent yake, Kikwete ataweka maji jimboni kwa ZItto, na mchezo utakwisha.

Ok got u
ila nilitegemea mchango wako sana hapa, na zitto tulimtwanga sana last week, ndio what i expected from you, najua unauchungu like i do, but mchango wako bana plse i beg u
 
Hii ni ajabu kweli. Waziri anataja kiwango cha uwekezaji bila kumtaja mwekezaji na The Citizen wanaandika tu. Bunge halijajadili uwekezaji huu. Hii itakuwa ni single biggest invesment into the country na ni ajabu sana kuwa mkataba unaweza kuwa umesainiwa bila hata press conference leave alobe Bunge kuambiwa.

Wajiandae kwenda mahakamni tu maana Bunge litawaambia wauvunje. Hawa jamaa hawajifunzi.

Kwani si huwa wanafanya maksudi kwani wawekezaji ni wao na wafungua kesi kuishitaki serikali na wanashinda kesi wao na wanajilipa wao huo ndio mchezo wanaoufanya kwa majuha wa Tz na sisi tunaendelea kidumu CCM Hapa Tz hamna watu ila Nguchiro tu.
 
Sijui ushauri huu utakua na uhalali gani kisheria naomba kueleweshwa na wanasheria.

Hivi kwanini wabunge wenye uchungu na nchi hii wasiungane na kuandika barua kwa pamoja kwa hawa wawekezaji kuwatahadharisha kinaga ubaga kuwa endapo wataanza kuwekeza katika mradi bila mkataba husika kuidhinishwa na bunge watakuwa wanapoteza fedha na muda wao kwa sababu mkataba huo utakujabatilishwa na hawatafidiwa.

Nadhani msimamo kama huu unaweza kuwa na matokeo chanya kwa manufaa ya watanzania wa leo na vizazi vijavyo kwa kuhakikisha kua watendaji mafisadi wa serikali hawaliingizi taifa katika mikataba ya 'Mangungo'.
 
Ok got u
ila nilitegemea mchango wako sana hapa, na zitto tulimtwanga sana last week, ndio what i expected from you, najua unauchungu like i do, but mchango wako bana plse i beg u

Sawa mkuu nimekupata,
Nitachangia tu accordingly. Hivi kwanza Zitto wa dowans kakimbilia wapi?
 
Back
Top Bottom