Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,846
- 16,740
tunasikia tu, Liganga/Mchuchuma iron core deal investor kweka up to tshs 10 trillion,
je mkataba nani anujua? mbona mambo ya siri za mikataba bado ni kitendawili? na hapa wana sema 50% serikali na investor watagawana that sounds good but kila mkataba unapoanza utasikia maneno matamu ya 50% share, je mkataba unasemaje? is their hiden costs? utakuta tunapata 26% bcoz of these hiden costs, tunataka mikataba ya wazi, Bunge lijue na lipitie mikataba, ujue kuna uongo hapo hapo waziri kasema eti mradi wa coal wa Ngaka wa Ruvuma Serikali itapata 30% hawa Pacific corporation east africa 70%(mara ya kwanza kusikia hii kampuni, nime google ipo ila haieleweki, ) kivipi? hapa tumeliwa subirini muone, period
je mkataba nani anujua? mbona mambo ya siri za mikataba bado ni kitendawili? na hapa wana sema 50% serikali na investor watagawana that sounds good but kila mkataba unapoanza utasikia maneno matamu ya 50% share, je mkataba unasemaje? is their hiden costs? utakuta tunapata 26% bcoz of these hiden costs, tunataka mikataba ya wazi, Bunge lijue na lipitie mikataba, ujue kuna uongo hapo hapo waziri kasema eti mradi wa coal wa Ngaka wa Ruvuma Serikali itapata 30% hawa Pacific corporation east africa 70%(mara ya kwanza kusikia hii kampuni, nime google ipo ila haieleweki, ) kivipi? hapa tumeliwa subirini muone, period