Life Jackets for whose Business

matuse

Member
Mar 7, 2008
54
10
Clouds FM wanachangisha pesa kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa life jackets wajameni hii imakaaje?
 
Imekaa vizuri sana kwasababu wameonesha mfano bora na wa kuigwa na wengine.
 
eeeeh kwa nini hawakuanza kabla ya maafa huko zenji?Wezi watupu hao akina Ruge..iwe acha hizo
 
Bihashara imeanza wanatafuta sehemu ya kuwadhurumu watanzania
kwani wasitumie hela wanayoibia wasanii kununua LIFE JACKET?
 
wanataka pesa ya kuwalipa mishahara watumishi wao. life jacket ni wajibu wa mmiliki yeyote wa chombo cha usafiri, na kama chombo kikionekana hakina hakipaswi kufanya safari. Sasa whre does clouds fit in all this?
 
hv hakuna regulators wa masuala ya kuchangisha wananchi?? Naona hawa clouds wanatumia hii nafasi kujikusanyia michango-sijui nani ana-audit hiyo michango??? Hata uchunguzi wa ajali haujaisha kujulikana suala ni lf jacket, uchakavu, au hizo lf jacket kufungiwa??wao washakurupuka kuanzisha mchango wa lf jacket, kama kweli wanania ya kutoa si wakagawe fedha kwa wafiwa kuliko kujipatia fedha kwa mgongo wa wafiwa. Voda nao vivo hivyo hata kodi hawalipi wanakazana kuchangisha fedha. The entrepreneuship notion is overrated
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom