- Thread starter
- #21
kumbe vya kupewa sasa kwanini unapiga mayowe humu.
My money is in the bank
kumbe vya kupewa sasa kwanini unapiga mayowe humu.
hahahahahaaaaaaa
Nimejengewa na wazazi wangu nyumba Tatu moja kunduchi na mbili masaki.wazazi wangu waliuziwa na serikali.na Huku mume wangu kanunua nyumba kaweka Jina langu
Unacheka! Mwenza akileta mbwembwe unamkumbusha tu mlikotoka anakuwa mpoleee. Umempenda hamiliki hata godoro, ana vip moja, soksi pair 2 na moja imetoboka, sarawili moja na.mashati 2. Ukimuambia twende kwa ba mdogo anauliza wana carpet? Lazma akuogope.
Nimejengewa na wazazi wangu nyumba Tatu moja kunduchi na mbili masaki.wazazi wangu waliuziwa na serikali.na Huku mume wangu kanunua nyumba kaweka Jina langu
My money is in the bank
Firstlady wa Uamsho@work!
nawashukuru sana wazazi wangu walionifundisha kuwa mali walizonazo ni zao na mie napaswa kutafuta zangu.......
Ni aibu sana kwa binti wa zaidi ya miaka 30 kujinadi mtandaoni kuwa ana mali kadha wa kadha ambazo ni za wazee wake.... Yeye mwenyewe hajui hata bei ya mfuko wa cement...its a shame
Hahaaaaaaa! Umenikumbusha mbalii kinoma na UAMSHO!!!!!! Usinikumbushe zanzibar.
Wenzio mama zetu sio mafisadi. Sasa hadi tumalize elimu za juu kabisa, tupate kazi, tununue vigodoro na dressing table, kiwanja, kujenga, finishing! Furnishing bado! Afu ndo tuolewe, si tutaolewa wabibi? Tunakutana vijana wadogo, tunapendana na kusaka kila mali pamoja. That way hatunyanyasiki manake unajua bei ya tofali hadi ya kioo cha bafuni! Challenge za kustruggle zinatuweka karibu zaidi. Chezeiya mume kupiga mzinga wa 50 tau asubuhi asubuhi? You dont know what you are missing!
Acha kujichanganya juu kwenye maada yako umesema wanawake wajenge nyumba kwanza hapa unasema umejengewa na wazazi pia umenunuliwa na mwanaume mbona husemi uliojenga wewe mwenyewe, halafu umejengewa na wazazi kwanini iswe mama peke yake ndio kakujengea kama ni rahisi sana kwa jinsi unavyodhani. Pia hata wao haikuwa rahisi kujenga mpaka serikali imeuza tena kwa bei rahisi. Kwa ufupi unashauri kitu ambacho hata wewe hujakifanya, kama ni nyumba za wazazi watu wengi wazazi wao wananyumba pia ila hawanampango nazo maana wanajua wanatakiwa watafute zaoNimejengewa na wazazi wangu nyumba Tatu moja kunduchi na mbili masaki.wazazi wangu waliuziwa na serikali.na Huku mume wangu kanunua nyumba kaweka Jina langu
Wanawake Jenga ndio uolewe.usisubiri kitchen party upewe Godoro.na baada ya harusi akianza shughuli ya viwanja eti kujenga mwambie ushajenga .ajemge yake ,ndoa ndoano akili kichwani..
Awe na miaka 30 atambe? Kala chumvi huyu mie tu najidai kukomazwa na shida ila anastahili shkamoo yangu asubuhi na jioni. Anakimbilia 40 huyu.
Lol, mamangu alikuwa anapiga marufuku kumuagiza maid anasema huyu ni maid WANGU sio WETU. Ama tupokezane kumlipa salary? Namshukuru sana aisee, hizi akili za kurumangia mmmh!
Wenzio mama zetu sio mafisadi. Sasa hadi tumalize elimu za juu kabisa, tupate kazi, tununue vigodoro na dressing table, kiwanja, kujenga, finishing! Furnishing bado! Afu ndo tuolewe, si tutaolewa wabibi? Tunakutana vijana wadogo, tunapendana na kusaka kila mali pamoja. That way hatunyanyasiki manake unajua bei ya tofali hadi ya kioo cha bafuni! Challenge za kustruggle zinatuweka karibu zaidi. Chezeiya mume kupiga mzinga wa 50 tau asubuhi asubuhi? You dont know what you are missing!
Nimejengewa na wazazi wangu nyumba Tatu moja kunduchi na mbili masaki.wazazi wangu waliuziwa na serikali.na Huku mume wangu kanunua nyumba kaweka Jina langu