Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Dah,wakati uzi huu unaletwa sikuwa online kwakwel
Nina visa vyangu viwili na kingine ni cha mwanafunzi mwenzangu
Kisa no 1
Miaka kadhaa ya nyuma nikiwa form one huko vijijini basi kulikuwepo na utaratbu kila terminal na annual walikuwa wanasoma top ten na wale kumi wa kutoka mwisho basi siku hyo ilikuwa ijumaa tukifunga kwenda likizo ya mwezi disemba siku hyo nilkuwepo period na kipindi hiko tulikuwa tunavaa matambala hata pedi nilkuwa sizijui basi mida ya sa nane tukaa skuli balaza mawaidha yakaendelea mara nasikia damu zinatiririka mithili ya maji yaani nasikia sehemu nilyokaa kama imejaa hivi najiuliza niombe ruhusa kabla sijajifikiria vizuri nasikia wanaanza kusoma majina ya top ten mara jina langu linaitwa ,wa kwanza darasani ni fulani(sasa inabidi ninyanyuke niende kupewa mkono na meza kuu na kupewa zawadi)aseee!nildata pale chini kwa sekunde kadhaa,theni nkasimama ,nilihisi damu zinachuruzika hadi miguuni(but haikuwa hivo ni hisia tu) bahati nzuri sketi ilikuwa nyeusi afu ndefu basi nkapata akili nkavua sweta nkajifunga kiunoni ikabid niende mbele kuchukua zawadi(unapoenda mbele wanafunzi unawapa mgongo )japo sijui sikugundulika lakini niliona aibu sana yaani kama wiki nzima nilkuwa nikifikiria hicho kitu

Kisa no 2
Hii ni miaka ya hivi karibuni,kawaida mimi pombe nakunywa,lakini ni zile za kureflesh na ni mara chache mno na mara nyingi huwa nakunywa wine na konyagi ikitokea basi bwana siku hyo nimejisikia kunywa nimeenda glossary nkaulizia wine hakuna,konyagi hakuna nkaambiwa imebaki k,vant tu sijawahi kunywa kivant ila uwa nasikia wanaisifia basi nkasema wacha nichukue kivant ndogo maana sina namna,nkabeba zangu nkaenda home nkanywa but naona radha yake siyo nzuri nkajikaza nkanywa nilivomaliza nkaenda kulala,nimelala usingizi mzuri mara kama naota hivi nasikia mme wangu ananiamsha anasema umekuwaje????aseee kumbe natapika mashuka yote na blanket yashakula matapishi fasta usingizini(ikumbukwe sijawahi tapika tangu nakunywa pombe)haraka niliamka nkaenda chooni tapika wee mpaka nyongo aseeee siku hiyo niliona aibu yaani kutapika kisa pombee??na mme wangu yeye hata hanywiii,naichukia k,vant

Kisa 3
Tukiwa form four miaka hyo wavulana kwa wasichana ilikuwa mida ya sa saba jua kali kipindi cha hesabu darasani kilikuwa kinaendelea,ikumbukwe hii mida ni mida ambayo wanafunzi wengi wanakuwa wamelala basi kuna binti mmoja alikuwa amekaa sehemu ambayo ni katikati ya darasa kama kawaida akauchapa usingizi wake kwenye dawati,mda kidogo akaanza kuota na kukojoa akakojoa mkojo unatiririka kwenye sakafu,hyo nayo ilikuwa aibu kwake hata sisi wasichana tuliona aibu but ni mambo ya kawaida

Nilivokoswa na aibu ambayo nilishaiona mbele yako
2016 nilkuwa natoka gongo la mboto naenda job,kumbe nilvotoka nkabeba mkoba mwingine wa jana ambao ulikuwa na hela nkauacha,tumefika sokota nakumbuka nimebeba mkoba hauna nauli dah nkaona hapa ni hatari,nkimuona konda ni wale micharuko akili akanijia kwamba itabid nimwambie hela yake namtumia m pesa kwani nashukia njiani,nkaanza kuwaza ntakavodhalilishwa nkasema eeh Mungu wangu sijafanya makusudi,huwezi amini konda alinipita wala hakuniuliza nauli nami nkasema hii ndo inaitwa miujiza
But all in all aibu zinakuja vyovote kikubwa ni kuzipotezea
Umenikumbusha hiyo aibu/kisa chako namba moja

Kuna madame moja alikuwa anatufundisha darasani ile anageuka kuandika ubaoni niliona/tuliona damu zimetiririka/zinatiririka mguuni

Kumbe madame aliingia kwenye siku zake bila yeye kujua

Wanafunzi tuliona tukio hilo laivu kabisa madame aliona aibu mno mpaka wiki mbili zilipita hakuja shuleni
 
Kuna siku nilikuwa nipo na sister angu mitaa ya kariakoo...huyu sister ni mkubwa sana kwangu...amepishana na mama angu mdogo miaka 3 tu...hivo namuheshimu kama mama angu.... Sasa nipo nae mitaa ya kariakoo tunatembea akatokea mmasai akaanza kuniropokea mbele ya sister...aroo nauza dawa ya mb*loo...akaanza kuorodhesha pale kazi zake...aisee nilitamani nikimbie...nilijisikia vibaya tena mbele ya sister
mmasai fala sans
 
Miaka hiyoo nilipokuwa bado bwana mdogo ndio naanza kupendapenda vischana alikuwepo sista du fulani mzuri kiasi chake, nikaanza kumtamani. Shida sasa ikawa kwenye kumtongoza, kila nilipojaribu kumkabili mojakwamoja moyo ukawa unasita nikaona isiwe tabu nikachana karatasi kwenye daftari nikamuandikia barua kisha mimi mwenyewe nikamfuata na kumpa halafu haraka nikatoweka kabla hajaisoma, siku ileile nikaanza kupokea taarifa kwa vijana wenzangu waliokuwa wananihathia kuhusu ile barua huku wananicheka, kumbe yule demu baada ya kuisoma akaamua kumpelekea kila mtu pale mtaani kuwaonesha kuwa namtaka na yeye hanitaki, Dah basi ilikuwa ngumu hata kutoka nyumbani kwa aibu, na kwabahati mbaya barua ile ikafikishwa na nyumbani hapo sasa nikawa nikitoka nyumbani asubuhi sirudi mpaka usiku tena kwa kujifichaficha washkaji wasinone, mtaa niliuona mchungu zaidi ya wiki.
 
Hii AIBU kuliko.

Pisi kali nyeupe Chotara ya Kizambia nimeifukuzia miezi 4 Siku ikanipa penzi mpaka kunakucha....MJESHI KANISALITI lazimisha Wapi??

Niliona aibu Mimi full kukwepana.
dah umenikumbusha kipindi nipo chuo na mm nilipata hii fedheha,

kuna mtoto mmoja pisi kinoma alikua anaishi mkoa jiran na nlipokua nasoma, bas siku hyo nimechat nae jion mida ametoka job nikamchombeza wee mara kajaa kingi(nahisi alikua na genye sana)

jion hyo hyo akapanda bus kuja nilipokua..mm sikuamini kama kweli kaja..nikapata hofu ya ajabu, mda wa mtanange ukafika, tumeanza foreplay mtoto kalainika mpk anamwaga asali, ile kuchukua ndom kuvaa mashine ikasinyaa(huwa sipendi kutumia ndom na siku hyo sikua na vile vipimo geto)

hofu ikazidi mana sikumuamini status yake...kajitahidi tena kunipa blowjob ikasimama..ile kuanza kuvaa ndom ikasinyaa tena

Akaniomba tulale..kesho asubuhi kaamka kasepa zake, nilijisikia vbya mno
 
Miaka hiyoo nilipokuwa bado bwana mdogo ndio naanza kupendapenda vischana alikuwepo sista du fulani mzuri kiasi chake, nikaanza kumtamani. Shida sasa ikawa kwenye kumtongoza, kila nilipojaribu kumkabili mojakwamoja moyo ukawa unasita nikaona isiwe tabu nikachana karatasi kwenye daftari nikamuandikia barua kisha mimi mwenyewe nikamfuata na kumpa halafu haraka nikatoweka kabla hajaisoma, siku ileile nikaanza kupokea taarifa kwa vijana wenzangu waliokuwa wananihathia kuhusu ile barua huku wananicheka, kumbe yule demu baada ya kuisoma akaamua kumpelekea kila mtu pale mtaani kuwaonesha kuwa namtaka na yeye hanitaki, Dah basi ilikuwa ngumu hata kutoka nyumbani kwa aibu, na kwabahati mbaya barua ile ikafikishwa na nyumbani hapo sasa nikawa nikitoka nyumbani asubuhi sirudi mpaka usiku tena kwa kujifichaficha washkaji wasinone, mtaa niliuona mchungu zaidi ya wiki.
hii ilinikutaga pia shuleni ..
 
Back in daiz enziza mzee jakaya nipo chuo babake ..sasa ilikuwa kipindi cha mitihani kumaliza semester.Kama ilivyo desturi chuo kipindi cha mitihani watu wanakuwaga nyomi yani hadi wazee wa kudoji..mabraza men na masista duuh wapo wazee wa kusoma siku za mtihani tu yani chuo kinatapika.
Sasa ilikuwa jion nikaona hacha niende kupiga msuli maana nilikuwa nakaa karibu na chuo basi nikabeba Videsa vyangu huyo chuo nikaingia lecture room moja kulikuwa na watu kama 70-90 nikaa mbele kabisa nikaanza kupiga msuli.
Baada kama ya masaa mawili hivi nikahisi kichwa kimechoka nikasema hacha nitoa kama smartphone kangu walau niperuzi kama mapumziko nikaingia WhatsApp nakuta jamaa yangu kanitumia video ya Cristiano Ronaldo akiwa anahojiwa chini jamaa kaandika "MSIKILIZE CR7 ANAONGEA KISWAHILI KIDOGO" nilivyo mlevi wa soka si nika download halafu ni kaplay fasta bila kujua kuwa sauti ipo juu asee kumbe jamaa wame-edit sauti ya porno yani mdada analia wakati wakufanya mapenzi chumba kizima wakawa wanani angalia mimi nikaona isiwe shidah nikababe vyangu nikasepa
 
Umenikumbusha hiyo aibu/kisa chako namba moja

Kuna madame moja alikuwa anatufundisha darasani ile anageuka kuandika ubaoni niliona/tuliona damu zimetiririka/zinatiririka mguuni

Kumbe madame aliingia kwenye siku zake bila yeye kujua

Wanafunzi tuliona tukio hilo laivu kabisa madame aliona aibu mno mpaka wiki mbili zilipita hakuja shuleni
Dah,acha tu sijui hyo aibu yake
 
Back in daiz enziza mzee jakaya nipo chuo babake ..sasa ilikuwa kipindi cha mitihani kumaliza semester.Kama ilivyo desturi chuo kipindi cha mitihani watu wanakuwaga nyomi yani hadi wazee wa kudoji..mabraza men na masista duuh wapo wazee wa kusoma siku za mtihani tu yani chuo kinatapika.
Sasa ilikuwa jion nikaona hacha niende kupiga msuli maana nilikuwa nakaa karibu na chuo basi nikabeba Videsa vyangu huyo chuo nikaingia lecture room moja kulikuwa na watu kama 70-90 nikaa mbele kabisa nikaanza kupiga msuli.
Baada kama ya masaa mawili hivi nikahisi kichwa kimechoka nikasema hacha nitoa kama smartphone kangu walau niperuzi kama mapumziko nikaingia WhatsApp nakuta jamaa yangu kanitumia video ya Cristiano Ronaldo akiwa anahojiwa chini jamaa kaandika "MSIKILIZE CR7 ANAONGEA KISWAHILI KIDOGO" nilivyo mlevi wa soka si nika download halafu ni kaplay fasta bila kujua kuwa sauti ipo juu asee kumbe jamaa wame-edit sauti ya porno yani mdada analia wakati wakufanya mapenzi chumba kizima wakawa wanani angalia mimi nikaona isiwe shidah nikababe vyangu nikasepa
Mamaeee ah ah ulipata tabu sana Mkuu nahisi ulitamani upotee kama mzuka vile
 
Mamaeee ah ah ulipata tabu sana Mkuu nahisi ulitamani upotee kama mzuka vile
Hii iliwahi kutokea wakati nasoma pale kwenye kile chuo chenye majengo meupe nyuma ya stendi ya Mawasiliano...

Tuko lecture room watu mob....anafundisha mkufunzi mmoja hivi....sasa kumbe kuna jamaa naye hasikilizi lecture kaingia WhatsApp anaperuzi peruzi...kakutana na video ya namna hiyo akaiplay.....

Ebwanaeeh....sauti kubwa mwanamke analia si mchezo...kila mtu alisikia mle ndani. Lecturer aliikaushia tu...ila aliripoti kwenye uongozi wa chuo.
Wakawa wakiingia wakufunzi wanatupiga mkwara kuwa nyie ndiyo lile darasa ambalo hamsomi mnaangalia porn darasani...!
 
Nikiwa chuo iringa nakaa mbali afu chuo kipo town
So lazma ntumie usafiri . Siku moja nikiwa nimevaa suluari modo Ime tight hatari,
Nikapanda zang bajaji , nmeshuka nikapiga hatua mbili hv nakuta Kila mtu Kama ananiangalia hiv , afu Kama upepo unaingia ndan HV ,
Kucheki suluari imetatuka kweny msamba ,

Asee ilibidi nipand bajaj nyingn fasta kurudi gheto,,
 
Kuna demu mtaani alikuwa wa kishua na huwa hana shobo na mtu wala hasilimii kenge yoyote pale mtaani.Masela wakawa wanamuongelea vibaya sasa siku moja mama yake alikunywa sumu kwa wivu wa mapenzi (baba yake ambae anafanya kazi UN) nashangaa bonge la usiku akaja mbio kuniomba nimpe maziwa(tulikuwa tunafuga ng’ombe) ikabidi familia nzima iamke ili kujua nani huyo anataka maziwa usiku wa manane? mimi kwa uninja wangu nikaenda mbio kwenda kumkamua ng'ombe wetu nikampa kama nusu jagi akabeba huku anakimbia kuelekea kwao huku analia.Nikaona haitoshi kuna dokta mwenye ki dispensary pale jirani na,home nikamcheck akapokea simu kwa sababu alikuwa mchizi wangu sana,ikabidi nimuelezee kilichotokea si akaamka tukaenda kumchukua yule mama na kumtundikia ma dripu.Yule mama baada ya siku 3 akawa na nafuu kumbe lile tendo lilinipa marks kubwa kwa yule demu so mtaa mzima akawa ananisalimu na kuongea na mimi tu(upande wa wavulana).
Siku moja moja sina lile wala hili akashika simu yangu aina ya L6 motorola ili asave namba yake kumbe alinipenda sana the way nilivyojitoa kwa mama yake.Daaa ile anaandika number akakuta namba yake imaseviwa NGEDERE MAPOZI daaa nashangaa ananiuliza hii nini kumbe una namba yangu alafu umenisave jina la ajabu.? Kwa kweli niliona aibu sana siku ile nilikosa cha kusema isitoshe alianza kunipenda na alikuwa anakuja home niliishiwa nguvu asijue kuwa lile jina na namba nililisave,zamani kabla ya tukio la mama yake kula sumu.
WANA WALISHAANZA KUNIPA RESPECT KWA KUWA KARIBU NA YULE MTOTO WA KISHUA.Daaaaa
 
Daaah umenikumbusha mbali sana mkuu, Nilitongozaga demu mtandaoni baada ya kumuona akiwa anapost picha mara kwa mara akila bata na alionekana mzuri balaa kama unavowaona akina Beyonce vile, yaani ukiona picha yake utafikiri hajazaliwa ni kama malaika kashushwa vile nikamfuata Inbox baada ya kuzoeana sana nikamtongoza akakubali kwa vile nilikuwa mkoani kikazi na yeye alikuwa Dar, ikabidi tukakubaliana nimtumie nauli aje niliko akakubali nikamtumia, siku ya kuja Alifika mda kama saa8 unusu nikiwa bado niko kazini na kwa vile rafiki zangu nilishawaonesha picha za yule mdada na kwa kweli na wao wakaona nimeopoa lulu, ikabidi nimtume dereva na gari la ofisi akampokee ampeleke hoteli akale then nikamuelekeze pa kumuacha.... nikiwa nimetulia mda wote nachart nae nikaona text kutoka kwa dereva " mzee demu gani huyu umeleta, njoo umpeleke mwenyewe hotelini mimi siwezi kuongozana nae" nikajua jamaa anatania maana ni mtu wa utani .. alivorudi akawa anacheka sana anawahadithia rafiki zangu nikiwemo nikajua anatania hasa nikirudi kuangalia zile picha hata rafiki zangu hawakuamini mda wa kazi ulipoisha marafiki zangu wakanifuata kwenda kumuona shemeji yao.Sitaki kuamini nilichokiona kule, picha ni zake kweli lakini sio uhalisia wake kabisa jamaa wakaniacha bhna hawakutaka hata kukaa na mimi halafu sijui ex wangu alijuaje niko pale si akaja aliongea maneno yaliyofanya ile siku ikawa mgumu sana kwangu.
kesho yake nikampa nauli arudi yule demu hata sikupiga aisee, nilipoingia ilikuwa ni kila mtu akawa ananidiscuss mimi kwa kilichotokea usiku wa jana yake.

hawa madada msiwaamini kwa picha za mitandaoni, wakiwa nyuma ya camera za iphone ni tofauti na uhalisia wao.
mtandaoni binafsi sitongozi tena
Uwongo uwongo mwingi sana mkuu na kujikweza kifala...mpangilio wa maneno yanasadifu huna maisha hayo ni wazi una njaa na uchovu wa maisha na hapa ulijua ni uzi wa kula tunda kimasihara....
 
Tukio lingine ninalo likumbuka ilikua miaka ya nyuma kidogo, nmemaliza kidato cha nne pale nasubiri kwenda A level,hivyo nikasafiri kwenda Moshi kwa ajili ya likizo hiyo ndefu.... Basi bwana,pale mtaani kukawa na sherehe za kipaimara cjui ubarikio sikumbuki vizuri ambae mdogo ake jamaa angu ndo alikua muhusika so nikaalikwa na huyu mshkaji wangu,ukafika muda wa msosi na utaratibu ni kupanga foleni,yule jamaa angu akawa na mishe mishe hivyo na mimi ikanibidi nipange foleni,imefika zamu yangu basi kuna mama wa kipare alikua ana "save" msosi pale,alinifananisha akaniwakia "kaka umeshachukua chakula pisha wenzio nao wapate kama hujashiba utaongeza mwishoni"...aisee nilijisikia vibaya,kwanza watu wengi,alafu mimi ni mgeni pale tena "kutoka Dar" sa kadri nilivyokua nakataa ndio yule mama anapaza sauti na kuzua taharuki pale,ilibidi niondoke kitendo kilichoaminisha kweli nlikua narudia,nilidhalilika sana na roho iliniuma sana japo yule jamaa angu aliniomba radhi haikusaidia... nilijifungua ndani muda wote na nikahama na mtaa kabisa nikaenda kuishi Moshi mjini kutoka NewLand
Wamama wakipare ndo tabia zao
 
Bro wangu ameoa sasa.Alikuwa na demu lake lina msambwanda kinyama.Basi lilivyosikia jamaa anaoa alienda kumfanyia fujo home wote tulikuwepo.Likaanza kubwatuka kuwa jamaa kamla ndogo miaka mingi kwa nini amuoi yeye.Tuliona noma sana.Washua wananiuliza kweli?Nikawaambia mkamuulize bro.Noma sana.
Hehehe..sasa wazee walikuuliza wewe walitaka ujibu nini?
 
Back
Top Bottom