ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
Hata kama anaona ayaone ya nyumbani kwake tu ya Tanzania hayamhusu tena,ni zamu ya mtu mwingine.Akiwa hai haku yaona ya Sabaya akibaka wake za watu na kuwa lawiti ataona akiwa amekufa! muombe kizazi chake kisipate laaana za watu maana ufanyalo watu ndio kizazi chako kitavuna!