Miaka ya nyuma tulidhani kuwa ni wanaume tu ndio wanahusika kutapeli, kuiba na kuharibu lahasha kwa sasa hivi wote wanahusika, ila njia wanazozitumia ndio hutofautiana. Kuna aina zifuatazo za utapeli na wizi kupitia mitandao:
Kwa tathmini ya haraka haraka vinaja kwa watu wazima wamesha poteza pesa nyingi sana zikikadiriwa kufikia sh milioni 20 kwa miaka 7-8 mfululizo haya yote hutokana na kutoa mitaji kwa wahusika, kuibiwa majumbani mwao, kutumiana pesa za matumizi kwenye simu kabla ya kuonana…
WANAO JIFANYA WANATAFUTA WAUME WA KUWAOA
Hawa huwa ni wanaume au wasichana, sasa hutoa matangazo twiter, instagram… ila mtaendelea ku chati kwenye mtandao. utasikia sikupi namba yangu sasa hivi bado mapema tuendelee ku chat hapa maana sijakuamini bado, kila mkichati anakukubalia kila kitu utakacho kisema wanajua ni mtego kwa wanaume basi siku ya siku anakuomba matumizi, hela ya kusuka au hela ya kula au vocha, hela ya kula anakuunganisha na wakala, vocha anakuambia uandike namba kwenye mtandao, akiona hujatoa na hutoi pesa ya maana anajua huna kitu, ana uwezo wa kutafuta sababu na kukublock. Ila kama unatoa hela nzuri anaanza kukupa shida zake hata kabla hamjaonana na mtaji pia anakuomba ump, akipokea anaweza akaja muonane kama ni msichana kweli ila kama ni mwanaume anaye jifanya ni msichana ana ku block na hata kama ni msichana akishapokea tu ana ku block.
Watu wametoa mitaji, pesa za kusuka na pesa za matumizi mwisho wa siku wanaambulia block.
WANAO JIFANYA WANAJIUZA NA WANAFANYA MARKETING INSTAGRAM NA TWITTER
Kama ni msichana anakwambia ana umri kati ya 23-27
Hawa huwa wana picha za wasichana au wanaume wa Nigeria ambao wamependeza sana, utashangaa hata mazingira ila wanajitahidi sana namba za magari usizione kwenye hizo picha ila ukifuatilia sana mazingira utaona sio ya kitanzania, kumuweza muombe akupe live location lazima atakwepa,kama ni wakiume anaye jifanya ni msichana anakupa namba iliyo sajiliwa kwa majina ya kike ila ukipiga hapokei, hawa mara nyingi huomba nauli umtumishie ili mkutane anakwambia nauli mfano upo dar naye yupo dar anakuoma elfu 20 ili aje ulipo ukishatuma ana ku block ukimwambia achukue UBA utalipia hataki anakwambia hawezi toka hajaona pesa kwenye simu, wachache sana wanakuja na akifika anaomba pesa kabla, ukimpa tu basi anasingizia anaenda kuziweka nje kwa rafiki alikuja naye halafu anakuachia pochi, yatakayoendelea hapo ndani ni hujuma ukimlazimisha anakwambia umembaka hujampa pesa zake, utaliona joto la jiwe, ili kukwepa aibu unampa hela nyingine. Yani majanga tupu.
WANAO JIFANYA NI WANAUME WANAHITAJI WANAWAKE WA KUWAOA
Hawa wapo potepote, mnakubaliana mtaoana anaanza kumdadisi mdada kama ni mtumishi au ana kipato kizuri kwenye mishe zake, hawana aibu anakuomba umuazime hela kuna kiwanja kinauzwa mtaandika majina ya wote, hawana aibu anaweza akakuomba hela ya kwenda kwenye mishe zake, hawa kazi yao ni kuwaibia wasichana wenye kazi zao au biashara baada ya hapo wanawablock.
WANAO JIFANYA NI MA WAKALA WA WANAO JIUZA MIKOA YOTE WANAKUUNGANISHA.
Hawa kazi yao ni moja tu anakuomba urushe pesa kama elfu 10 au elfu 5 ukishatuma anakutumia picha za wasichana wa Nigeria, unachagua badae anakwambia tayari subiri muwasiliane atakucheki, badae anakwambia ana mtu chagua mwingine anakuzungusha kama kwa 3 hivi badae anakwambia huna bahati kazi yake imeisha unatakiwa uongeze hela aendelee kukutaftia.
WANAO JIFANYA NI WANACHUO AU NI WANACHUO ILA WANAHITAJI WAUME WA KUWA NAO KIPINDI WAKO CHUONI
Hawa kazi yao ni kupiga mizinga mikubwa sana hata kama hamjaonana, anataka pesa zote na mtaji way eye kufanya biashara chuoni au kuwa na kisehemu, yote haya ni kutafuta pa kujituliza, hawa wengi matapeli sana usipotuma hela vizuri ana ku block
Hitimisho
Wanaume tutulie mbinu nyingi sana sasa hivi za kupoteza hela wanazitumia hawa viumbe
Mwanamke ni Yule tu unaye kutana naye live mnamalizana hapo hapo
- Wanao jifanya ni wadada wanatafuta waume wa kuwaoa
- Wanao jifanya ni wadada wanao jifanya wanajiuza ila wanafanya marketing Instagram na twitter
- Wanao jifanya ni wanaume wanahitaji wanawake wa kuwaoa
- Wanao jifanya ni ma wakala wa wanao jiuza mikoa yote wanakuunganisha.
- Wanao jifanya ni wanachuo au ni wanachuo ila wanahitaji waume wa kuwa nao kipindi wako chuoni
Kwa tathmini ya haraka haraka vinaja kwa watu wazima wamesha poteza pesa nyingi sana zikikadiriwa kufikia sh milioni 20 kwa miaka 7-8 mfululizo haya yote hutokana na kutoa mitaji kwa wahusika, kuibiwa majumbani mwao, kutumiana pesa za matumizi kwenye simu kabla ya kuonana…
WANAO JIFANYA WANATAFUTA WAUME WA KUWAOA
Hawa huwa ni wanaume au wasichana, sasa hutoa matangazo twiter, instagram… ila mtaendelea ku chati kwenye mtandao. utasikia sikupi namba yangu sasa hivi bado mapema tuendelee ku chat hapa maana sijakuamini bado, kila mkichati anakukubalia kila kitu utakacho kisema wanajua ni mtego kwa wanaume basi siku ya siku anakuomba matumizi, hela ya kusuka au hela ya kula au vocha, hela ya kula anakuunganisha na wakala, vocha anakuambia uandike namba kwenye mtandao, akiona hujatoa na hutoi pesa ya maana anajua huna kitu, ana uwezo wa kutafuta sababu na kukublock. Ila kama unatoa hela nzuri anaanza kukupa shida zake hata kabla hamjaonana na mtaji pia anakuomba ump, akipokea anaweza akaja muonane kama ni msichana kweli ila kama ni mwanaume anaye jifanya ni msichana ana ku block na hata kama ni msichana akishapokea tu ana ku block.
Watu wametoa mitaji, pesa za kusuka na pesa za matumizi mwisho wa siku wanaambulia block.
WANAO JIFANYA WANAJIUZA NA WANAFANYA MARKETING INSTAGRAM NA TWITTER
Kama ni msichana anakwambia ana umri kati ya 23-27
Hawa huwa wana picha za wasichana au wanaume wa Nigeria ambao wamependeza sana, utashangaa hata mazingira ila wanajitahidi sana namba za magari usizione kwenye hizo picha ila ukifuatilia sana mazingira utaona sio ya kitanzania, kumuweza muombe akupe live location lazima atakwepa,kama ni wakiume anaye jifanya ni msichana anakupa namba iliyo sajiliwa kwa majina ya kike ila ukipiga hapokei, hawa mara nyingi huomba nauli umtumishie ili mkutane anakwambia nauli mfano upo dar naye yupo dar anakuoma elfu 20 ili aje ulipo ukishatuma ana ku block ukimwambia achukue UBA utalipia hataki anakwambia hawezi toka hajaona pesa kwenye simu, wachache sana wanakuja na akifika anaomba pesa kabla, ukimpa tu basi anasingizia anaenda kuziweka nje kwa rafiki alikuja naye halafu anakuachia pochi, yatakayoendelea hapo ndani ni hujuma ukimlazimisha anakwambia umembaka hujampa pesa zake, utaliona joto la jiwe, ili kukwepa aibu unampa hela nyingine. Yani majanga tupu.
WANAO JIFANYA NI WANAUME WANAHITAJI WANAWAKE WA KUWAOA
Hawa wapo potepote, mnakubaliana mtaoana anaanza kumdadisi mdada kama ni mtumishi au ana kipato kizuri kwenye mishe zake, hawana aibu anakuomba umuazime hela kuna kiwanja kinauzwa mtaandika majina ya wote, hawana aibu anaweza akakuomba hela ya kwenda kwenye mishe zake, hawa kazi yao ni kuwaibia wasichana wenye kazi zao au biashara baada ya hapo wanawablock.
WANAO JIFANYA NI MA WAKALA WA WANAO JIUZA MIKOA YOTE WANAKUUNGANISHA.
Hawa kazi yao ni moja tu anakuomba urushe pesa kama elfu 10 au elfu 5 ukishatuma anakutumia picha za wasichana wa Nigeria, unachagua badae anakwambia tayari subiri muwasiliane atakucheki, badae anakwambia ana mtu chagua mwingine anakuzungusha kama kwa 3 hivi badae anakwambia huna bahati kazi yake imeisha unatakiwa uongeze hela aendelee kukutaftia.
WANAO JIFANYA NI WANACHUO AU NI WANACHUO ILA WANAHITAJI WAUME WA KUWA NAO KIPINDI WAKO CHUONI
Hawa kazi yao ni kupiga mizinga mikubwa sana hata kama hamjaonana, anataka pesa zote na mtaji way eye kufanya biashara chuoni au kuwa na kisehemu, yote haya ni kutafuta pa kujituliza, hawa wengi matapeli sana usipotuma hela vizuri ana ku block
Hitimisho
Wanaume tutulie mbinu nyingi sana sasa hivi za kupoteza hela wanazitumia hawa viumbe
Mwanamke ni Yule tu unaye kutana naye live mnamalizana hapo hapo