Hizo V-Pills au Herbal vivi ndo SUPPLEMENTS zenyewe na sio Dawa kama Ramadhani anavodai. Ndo maana anasistiza mazoezi na mlo kamili. Ni kama gym vile, ukitaka misuli basi unakula supplements na kupiga mazoezi. Umenipata? Ok.
Duh....ngoja kwanza. Ina maana ukinunua hiyo dawa V-pills ni lazima uwe na supplements? Au hizo v-pills ndo supplements zenyewe. Minilikuwa nakula supplements nikivyoenda Gym...baada ya hapo sina time nazo tena.