Acha kulishwa tangopori wenyeji ndio wako free sio wageniWewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.
ππππ Huyu yupo Geneva ya Rungwe.
Tapeli huyo..Wewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.
ππππ Huyu yupo Geneva ya Rungwe.
Mkuu nipo Rungwe hapa Wala usijaliHahahaaa Geneva ya Rungwe. πππ
Na ana roho ngumu kama mchembe wa kiangazi. π
Kuna mtu yupo Ulaya ndiyo anakuwa anampa info za huko.
Na yeye pia anasearch sana kwenye internet... that's why anakuwa na dead/repealed data.
-Kaveli-
kwani buza siku hizi mna nini???Tapeli wa nini mkuu?
Najua inauma sana ulichopanga kimefikia nusu na umeumbuka..Tapeli wa nini mkuu?
Mkali funga hi mada badili I'd Mambo yaende fresh jf ni Kama mji au mtaa ukijisaidia nguoni Hama mtaa kwasasa jf P yako iko kweshenabo fungua id mpya life lisongeSawa mkuu hamna tatzo
Una ndugu waliopo uswiss au una Google?........ Ondoa dhana ya kijinga kwamba watu wana wivuSawa mkuu nitakutumia
Acha umbea wa kike Mambo za kiwaki hiziNaweka siti
Its not over until its over...
Wewe muongo jamani. France,Germany,Uswiss,Italy hizo zote ni Schengen. Hazina control. Ukitoka Germany kuingia Uswiss unapita tu. Ila wewe jamani khaaaaah.
ππππ Huyu yupo Geneva ya Rungwe.
Yaishe jamaaHuyu mhuni alipewa za uso na mjuaji mkuu bwana Kiranga, hadi mhuni wa Geneva akaukimbia ule uzi wake... ππ
View attachment 1449511
View attachment 1449513
View attachment 1449515
View attachment 1449516
πππππ
-Kaveli-
Mkuu, Madam Victoire yuko sahihi. Kwa hili la Schengen lipotezee tu.Acha kulishwa tangopori wenyeji ndio wako free sio wageni
Yupo bombom kijiwe samli.Wape hi hapo uswiz mkuu