Licha ya Tanzania kuwa na ndege 11, Rais Samia anatumia ndege za abiria

Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Tanzania kwa miaka yake yote 60 haijawahi kupata Rais Mwanamke ,

1.Mchapakazi

2. Mchamungu,

3. Mpole

4. Mwadilifu,

5. Mpendahaki,

#HAKIKA HAKUNA KAMA SAMIA
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,


Mimi nilidhani kapanda Airbus hataka ingemchukua siku kufika ua kapanda dremaliner at least ingemake sense kwakuwa pesa anauowalipa Emirates ange ilipa ATCL nakupata huduma any way tuna dremaliner moja
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Tanzania tumepata Rais wa kweli
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Kali sana hii aise,
 
Haya madege inawezekana mabovu
Mimi nilidhani kapanda Airbus hataka ingemchukua siku kufika ua kapanda dremaliner at least ingemake sense kwakuwa pesa anauowalipa Emirates ange ilipa ATCL nakupata huduma any way tuna dremaliner moja
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Umetumwa umusifie, utakuwa DC huko Pemba
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea kwa nani? Ana kula bata, she is there for her own benefit tusidanganywe
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Rais Hakainde Hichilema kutoka Zambia na Rais Samia Suluhu Hassan kutoka Tanzania ndio marais pekee kutoka Africa wanaokwenda ng'ambo kwa kutumia ndege za abiria|Umma.

Rais Samia Suluhu wa Tanzania pamoja na kuwa na ndege mpya 11 zikiwemo zenye uwezo wa kuruka moja kwa moja kwa zaidi ya masaa 20 angani bado ameendelea kutumia Usafiri wa abiria|umma.

Wakati tukimngonjea pale JNIA akitokea Glasgow Scotland alikokwenda kutuwakilisha kwenye mkutano wa 26 wa Kujadili kuhusu mabadiliko ya tabianchii ( COP26 ) unaoendelea hadi trh 12|11|2021 tulidhani angeshuka pengine na lile Boing 787-800 letu.

Maajabu ya kutia moyo ni kwamba Rais wetu akiwa na Ujumbe wake wa watu wachache alishuka kwenye ndege ya abiri mali ya sherika la ndege la Emirates (Emirates Airline).

Ujumbe Wangu nataka Watanzania tuelewe mama huyu hayupo kufanya Starehe yeyote, Mama huyu yuko kuwapambania Wananchi wake tu ndio maana hataki makuu anaacha ndege mpya 11 zimepaki anakwenda kurukia Emirates wakati huo huo wenzake wanakwenda na ndege zao binafsi,

Mfano, Rais Samia Suluhu katika Safaris ile ya New York kwenye UNGA Rais mwenzake toka Africa -Angola alitumia Jumla ya TZS 9.5BL licha ya nchi yake kuwa na deni kubwa kiasi cha kutaka kufilisiwa na China,Huyu ndio Samia Suluhu Rais Mzalendo wa kweli tuliyepewa na Mungu wetu,

<<< Uzalendo ni huu angalia >>>

Mama yuko makini sana na fedha za wananchi,
 
Back
Top Bottom