Licha ya kujipendekeza sana kwa Israel, Wazayuni watishia kuikatia maji Jordan -

Kumbe ana akili sasa kama hataki ugonvi na wababe Wa kizayanu. Yanini uwe na ugomvi na mtu anayekuzid nguvu mzee baba
Ndio hivyo licha ya hayo yote bado israel hataki kurudisha maeneo aliyokodishiwa anamtishia nyau kumkatia maji anataka aendelee kuyamiliki kwa mkopo tu huku Jordan anayataka maeneo yake
 
Russia anawajaza silaha maadui wa Israel, hii inatosha kabisa kuwa sababu ya Israeli kumpiga Russia ili asiwauzie silaha maadui wake.
Ubavu huo hana miaka buku ye aonee dagaa tu kama Palestina ila Russia ile ni ngoma nyingine kabisa hawezi sogeza pua zake pale
 
Kumbe ana akili sasa kama hataki ugonvi na wababe Wa kizayanu. Yanini uwe na ugomvi na mtu anayekuzid nguvu mzee baba
undefinedmisri na jordan zina mkataba wa amani na israel,masharti ya mkataba ni kuondoa uhasama na israel in exchange marekani kila mwaka anawajaza hela
 
Kumbe ana akili sasa kama hataki ugonvi na wababe Wa kizayanu. Yanini uwe na ugomvi na mtu anayekuzid nguvu mzee baba
undefinedmisri na jordan zina mkataba wa amani na israel,masharti ya mkataba ni kuondoa uhasama na israel in exchange marekani kila mwaka anawajaza hela
 
undefinedsaul hakutawala ufalme wowote,waisrael walikuwa wakiishi tu miongoni mwa wafilist,ndipo wakamchagua saul awe kiongozi wao baada ya kuchoka kuishi bila kiongozi,kipindi cha saul,ishbaal na mwanzoni mwa Daud,waisrael waliishi chini ya wafilist


Mpeni heshima yake Elungata , haya maelezo yanacoincide kabisa na maneno ya Qur'an
 
Russia anawajaza silaha maadui wa Israel, hii inatosha kabisa kuwa sababu ya Israeli kumpiga Russia ili asiwauzie silaha maadui wake.
Kuuza na kununua silaha ni biashara. Israel na wao wanauza na kununua kutoka mataifa mengine silaha. Hivyo, hilo halitoshi kuwa sababu ya Israel kuingia Ugomvi na Russia. Hata wasingenunua Russia wangewezapia kununua toka Marekani. USA nayo inaziuzia sana silaha nchi za Kiarabu na wakati huo huo USA ndo rafiki wa Israel.
 
Back
Top Bottom