LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

Maandishi uliyoyaanzisha ndio yameleta tafsiri (figurative) so, from that point of view, you are absolutely accountable for the consequential results, whether positive or negative.
That's according to your translation from the point of view!
 
Unauthibitisho gani, kitengo hicho kiliitwaje na kiongozi wake alikuwa nani?

Wewe uliwahi kukutana na mmojwapo waliukuwa wanaunda hicho kitengo ukajiridhisha kwamba hawana weledi kwa kazi hiyo?

Wewe unataalum yoyote kuhusiana na usalama wa taifa zaidi ya ubashiri wa kinyota?

Ni nani mwenye kipimo sahihi kwamba kitendo kilichotekelezwa kilikuwa kwa maslahi ya taifa au hapana?

Kwamimi unadai kitengo kiliundwa sijui na nani kwa maslahi binafsi?

Hivi unaelewa kwamba unapotajwa rais ndio unaamanisha nchi?

Kwa hiyo unataka kuwaambia jamii kwamba kabla ya SSH aliyekuwepo hakuwa rais ila alikuwa mtu binafsi?

Tafkari na ujibu kwa ufasaha Mshana Jr
Technical question,,,, big up mkuu coz vitu vinachukuliwa kirahisi Rahisi sana
 
Unajaribu kuuliza maswali ambayo sina majibu yake zaidi ya nilichokujibu..
Mengine ni tafsiri zako binafsi kufuatia jibu langu kwako... Sihusiki na hizo tafsiri zako nahusika na maandishi yangu
Hakuna mahali popote nimemtaja rais yeyote kwa lolote..sipo hapa kumjadili mtu
Naona umeamua kuruka mkuu..!!!
 
Maandishi uliyoyaanzisha ndio yameleta tafsiri (figurative) so, from that point of view, you are absolutely accountable for the consequential results, whether positive or negative.
Mkuu usifike huko,,,,, let us discuss it with peacefully perceptions...!!!
 
Paka na Muzukulu hao wana Millitary background kitu kinachowafanya wawe very technical mfano Paka amewahi kuwa CMI wa Jeshi la Uganda, Ngosha hakuwa na millitary background ukichanganya na ushamba kiasi lazima awe phased out. Nilihisi hatari baada ya Kijazi kuchomoka ambae ndio alikiwa mkono wa kulia wa Mzee, All in all he was a good president
Nilichojifunza ni Kuwa Rais akiwa Full Civilian anapaswa kuwa makini sana sana na kila hatua anayopiga
Na Rais ambao ni Civilian wako poa zaidi ya walio na Millitary background
U hv thinked biggest
 
Kafanyaje? Kitengo huwa hakifanyi makosa ya kijinga kama yale...
Kitengo huwa hakiachi foof prints
Kitengo huwa hakipangi mipango yake bar
Kitengo huwa hakipotezi ushahidi kindezi vile
Hivi MOSSAD ilikuwaje kule Sweden akauawa bystander badala ya target?
 
Ndo nmeelewa kumbe wale walio mvalisha mo dewji kanga ni kitengo maalum kwaajili ya kuwageuza matajiri waishi kama mashetani
 
Pay master wa wizara ya fedha ambaye ni mchaga amekwapua billioni 1.5 ndani ya miezi miwili.
 
Back
Top Bottom