Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tena kwa meli yenye bendera ya Tanzania
Wanawaleta bila kuomba?
Wanawaleta bila kuomba?
Wapi mzee wa kuokotwa majalalani?R. I. P Mahiga
Haijakamatwa,ilikuwa inaescotiwa na meli ya kijeshi za uturuki,hakuna mtu angeweza ikamata
Msiwalaum mabeberu,jilaumuni wenyewe kwa kuwa na akili ndogo.Trump alishawaambia mwafrica ukimpa silaha ataua ndugu zake,Je Akwilina aliuwawa na beberu? Je Lissu alipigwa risasi na beberu?
Lugha gani umeandika kwanza tuanzie hapo
Sijui
Huko kwingine mkuu,maana Lissu alipigiwa risasi Stockholm,Akwilina akapigiwa risasi Chicago,Mwangosi akalipuliwa na bomu huko Dublin etc
Mkuu hakuna muha wa hivyo.waha wanaakili si sawa na huyo kilazaMwambie kiha cha kwao Mwandiga
Mkuu hakuna muha wa hivyo.waha wanaakili si sawa na huyo kilaza
Mabepari Ndo Wametoa kibari kwa hiyo Meli kusajiliwa Tanzania!?Hiyo ni michezo yao Mabeberu kuliangamiza bara la Afrika
Mabepari Ndo Wametoa kibari kwa hiyo Meli kusajiliwa Tanzania!?
Uasijili wa meli umefanyika wapi kwaniHiyo ni michezo yao Mabeberu kuliangamiza bara la Afrika
Taifa linaenda kama gari la wahuniHivi kwanini bendera ya Tanzania haieshimiwi ndio maana sasa kupata viza kwa baadhi ya nchi inakuwa ngumu kutokana na matendo tunayofanya ya kujichafua
Meli huwa inasajiliwa kwenye nchi husika.
Kama Watanzania wenyewe hata katiba yao hawaiheshimu wanaisigina,sembuse bendera nani ataiheshimu sasa?Hivi kwanini bendera ya Tanzania haieshimiwi ndio maana sasa kupata viza kwa baadhi ya nchi inakuwa ngumu kutokana na matendo tunayofanya ya kujichafua
Unamtaka wa kazi gani? Sema mapema mkuu aje basiWapi Lt. Gen A.S.
Huwa sipendi sana ushabiki wa kipumbavu kama huu ulioleta hapa.Kama DJ
Eti kiongozi mkuu wa Upinzani
Anafanya upuuzi anaugeuza kuwa Kiki yakisiasa