Libya: Meli yenye bendera ya Tanzania ikiwa imesheheni silaha yaibua minong’ono

Makumbele

Member
May 9, 2009
65
390
Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari vya Ugiriki, mnamo Juni 10, 2020 meli ya mizigo yenye bendera ya Tanzania iliyokuwa imebeba silaha iliingia katika pwani ya Libya ikiwa imesindikizwa na meli tatu za Kijeshi za Uturuki na hivyo kuvunja agizo la EU la kutopeleka silaha nchini Libya

Inaelezwa kuwa kulikuwa na meli moja tu ya Kijeshi kwa niamba ya EU kusimamia utekelezaji wa agizo hilo na ilipoiambia meli yenye bendera ya Tanzania kugeuza, meli za Uturuki zilisema meli ile ipo chini ya ulinzi wao na kwa kuwa EU meli ilikuwa moja, ililazimu kutulia

Msemaji wa EU, Peter Stano amesema tangu kuzinduliwa kwa Operesheni Irini, katika bahari ya Mediterranean kumekuwa na matukio zaidi ya 75 kwa wanaoendesha opereshini hiyo kuchunguza meli kama ilivyokuwa Jumatano. Sasa wanawasiliana na mamlaka za chombo husika

Mnamo Machi 31, Jumuiya ya Ulaya (EU) ilizindua Operesheni ya Irini iliyolenga kuhakikisha heshima kwa tamko la Berlin juu ya kufuata vikwazo vya silaha huko Libya inasimamiwa. Meli za kukagua na kulinda pwani ya Libya zuia silaha kuingia Libya ziliwekwa katika bahari ya Mediterranean
=====

Greek media reported that an incident occurred on Wednesday (10 June) off the coast of Libya. A Tanzanian-flagged cargo vessel allegedly carrying weapons for Libya escorted by three Turkish frigates broke the arms embargo of the EU Irini operation.
Apparently, there was only one Greek frigate monitoring the arms embargo on behalf of the EU.

When the Tanzanian-flagged vessel was asked to back off, the Turkish frigates said the ship was under the protection of the Turkish state. Considering that there was only one EU frigate, it ultimately backed down. Apparently, the vessel ultimately reached the Libyan coast.

The Greek ministry of defence confirmed the incident.

Contacted by EURACTIV, EU Spokesperson Peter Stano commented:

“Since the launch of Operation Irini, there were more than 75 occasions when Irini hailed ships and vessels. It was also the case on Wednesday when Irini hailed for inspection a cargo vessel in the high seas off the coast of Libya – following the usual procedures. We are currently conducting further verifications with the competent authorities.”

“ln accordance with relevant UN Security Council Resolutions on the arms embargo on Libya (including resolution 2526 adopted last week on 5 June), the Operation remains in close contact with the Panel of Experts of the United Nations and will report to them accordingly. Again, this is in line with standard practices,” he added.

Stano continued, saying there have also been occasions in which some attempted to break the oil embargo too.

“On other occasions, Operation Irini also collected information about cases involving other actors – including an attempt to violate the oil embargo, which Operation Irini deterred.”

The incident raises a number of issues such as whether Operation Irini can in practice monitor the embargo. According to Kathimerini journal, Turkey appeared to have a total of eight ships in the area on Wednesday while the Operation Irini’s deployed units just one.

France, for instance, has not sent any frigate so far but has stated that its frigates could intervene within 72 hours.

Source: ATHENS - Weird incident with Operation Irini
 
Msimuramu beberu,jiraumuni wenyewe kwa kuwa na akili ndogo.Trump alisema mwafrica ukimpa silaha anaua ndugu zake,Je Akwilina aliuwawa na beberu? Je Lissu alipigwa risasi na beberu?
Crime ya aina hii ipo juu wapi kati ya Africa na huko kwingine?
 
Greek media reported that an incident occurred on Wednesday (10 June) off the coast of Libya. A Tanzanian-flagged cargo vessel allegedly carrying weapons for Libya escorted by three Turkish frigates broke the arms embargo of the EU Irini operation.
Apparently, there was only one Greek frigate monitoring the arms embargo on behalf of the EU.

When the Tanzanian-flagged vessel was asked to back off, the Turkish frigates said the ship was under the protection of the Turkish state. Considering that there was only one EU frigate, it ultimately backed down. Apparently, the vessel ultimately reached the Libyan coast.

The Greek ministry of defence confirmed the incident.

Contacted by EURACTIV, EU Spokesperson Peter Stano commented:

“Since the launch of Operation Irini, there were more than 75 occasions when Irini hailed ships and vessels. It was also the case on Wednesday when Irini hailed for inspection a cargo vessel in the high seas off the coast of Libya – following the usual procedures. We are currently conducting further verifications with the competent authorities.”

“ln accordance with relevant UN Security Council Resolutions on the arms embargo on Libya (including resolution 2526 adopted last week on 5 June), the Operation remains in close contact with the Panel of Experts of the United Nations and will report to them accordingly. Again, this is in line with standard practices,” he added.

Stano continued, saying there have also been occasions in which some attempted to break the oil embargo too.

“On other occasions, Operation Irini also collected information about cases involving other actors – including an attempt to violate the oil embargo, which Operation Irini deterred.”

The incident raises a number of issues such as whether Operation Irini can in practice monitor the embargo. According to Kathimerini journal, Turkey appeared to have a total of eight ships in the area on Wednesday while the Operation Irini’s deployed units just one.

France, for instance, has not sent any frigate so far but has stated that its frigates could intervene within 72 hours.

Source: ATHENS - Weird incident with Operation Irini
Vipi kwani Uchaguzi umekaribia wameagiza mashehena ya siraha?? Wanataka kutupiga sisi wapinzani??
 
Huko kwingine mkuu,maana Lissu alipigiwa risasi Stockholm,Akwilina akapigiwa risasi Chicago,Mwangosi akalipuliwa na bomu huko Dublin etc
Kuna majinga nchi hii sana. Tanzania is the way to hell hasa kwa wakosoaji.

Ney wa mitego kasema anashangaa majitu maovu yanachelewa kufa.
 
Imesajiliwa Tanzania, hao waturuki ni rafiki zetu, wanatujengea reli, wanatuwakilisha vyema, basi litaisha hivyo hivyo...

Everyday is Saturday.......................... :cool:
Hahah waturuki wanaotekeleza ule mradi ni wapumbavu sana wale,ukiwakodishia gari yako inarudi ikiwa screpa tupu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom