KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ameliambia bunge la nchi hiyo (House of Common) kuwa, ujenzi wa Libya baada ya Gaddafi utatumia rasilimali za libya yenyewe akimaanisha oil reserve iliyopo Libya. Wengi wetu tulifikiri wangeshiriki kuijenga Libya kama walivyoshirikiana kuiangamiza nchi hiyo.