Liberia: Spika ahojiwa baada ya Bunge kuchomwa moto

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,141
1,983
Spika wa Bunge la Wawakilishi ambaye yupo kwenye mvutano wa Kisiasa, amehojiwa na Polisi baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya Bunge la taifa hilo la Afrika Magharibi

Moto huo umeharibu kabisa ukumbi wa pamoja wa Bunge, lakini hakuna mtu aliyekuwa ndani ya jengo wakati wa tukio, huku Polisi wakisema Watu wanne, akiwemo Spika Jonathan Fonati Koffa na Mbunge Frank Saah Foko wamehojiwa kufuatia tukio hilo

Imeelezwa, Moto huo umetokea siku moja baada ya mpango wa kumuondoa Koffa katika nafasi ya spika kwa tuhuma za Rushwa kusababisha maandamano makali. Waandamanaji kadhaa, wakiwemo wasaidizi wa Rais wa zamani George Weah, walikamatwa wakati wa maandamano hayo ya Desemba 17, 2024

Bunge la Wawakilishi la Liberia limekuwa likikumbwa na mgogoro wa mamlaka, ambapo kikundi kimoja cha Wabunge kimekuwa na jitihada za kumuondoa Spika huyo madarakani huku kundi jingine likipinga hatua hiyo na kuiita kinyume cha Katiba

.................
Embattled Liberian speaker questioned by police over parliament fire

Authorities have offered a cash reward for more information about the fire

The embattled speaker of Liberia's House of Representatives has been questioned by the police after a huge fire at the West African nation's legislature.

Residents of the capital Monrovia woke up on Wednesday morning to see thick black smoke and flames rising from the Capitol building.

The flames destroyed the entire joint chambers of the legislature, but no-one was in the building at the time.

Four individuals, including Speaker Jonathan Fonati Koffa and Representative Frank Saah Foko, have been brought in for questioning, Liberia's police chief Gregory Colman said.

Thick smoke as huge fire breaks out at Liberia's Capitol building

The fire occurred a day after plans to remove Koffa from his speaker role sparked a tense protest.

Several demonstrators, including an aide to former President George Weah, were arrested during Tuesday's protest.

Representative Foko, a prominent figure in the House of Representatives, allegedly uploaded a video onto Facebook in which he said: "If they want us to burn the chambers, we will burn it."

Police chief Coleman said: "Representative Foko made a threat that he would burn the joint Chambers and just a day after, it was burned. So he needs to clarify his statement."

Coleman said Koffa must also explain a Facebook post he made during the protests.

Neither Foko or Koffa have responded publicly to Coleman's comments.

The government has offered a $5,000 (£3,900) reward for more information about the fire.

President Joseph Boakai has expressed disappointment over the incident and ordered the security agencies to investigate.

Liberia's House of Representatives has been beset by a power struggle, in which a faction of lawmakers claims to have removed and replaced Speaker Koffa.

Another group has resisted the action, calling it unconstitutional.

A Supreme Court ruling has failed to solve the internal dispute.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom