Acha uzAlendo uliopitilizaNenda kwenye vyanzo uone - Mwaka 2017 Tanzania ina idadi ya watu takriban 54M wakati Liberia ina watu 4.6M - kwa ufupi ni kuwa nchi ya Liberia ina idadi ya watu sawa na mkoa wa Mwanza.
Lakini pia rais wa Liberia ameondoa ada vyuo vikuu lkn ada ktk shule za awali, msingi na sekondari ziko palepale tofauti na nchi ya Tanzania
Sisi tunawaacha mbali Liberia kwa ubora wa huduma za umma