Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
All the best mwana ndinga
George Weah has been voted president of Liberia after clinching 12 of the 15 counties in the west African country.
Weah has taken to Twitter to thank all his supporters, saying that he plans to liberate the country.
The former AC Milan striker becomes the 25th president of the country.
His opponent, 73-year-old Joseph Boakai - who has been the country's vice president for the last 12 years, got only two counties to vote for him.
Yaonekana simfuatiliaji wa mambo!kiongozi kama Magufuli mkuu au mchumi sasa huyo msakata kabumbu hajui hata uchumi maana yake ni nini
Du...kwani nchi haina dira?au akiingia anaenda kutenda kwa matakwa yake?mwanasoka atawaletea maendeleo gani sasa
1.Reagan alikuwa mcheza cinema akawa raisi wa Marekani 2.Papa Francis ujana wake ameshawahi kuwa bouncer kwenye kumbi za starehe.3.Rais wetu mhe Magufuli ameshawahi kuwa mwalimu na mkemia 4.Rais Moi,Nyerere na Mwinyi wameshawahi kuwa walimu 5.Mhe raisi mstaafu Mkapa ameshawahi kuwa mwandishi wa habari .Kabla ya kupata kitu alichokupangia unafit mungu anakupitisha sehemu zingine kwa makusudi maalum anavyojua yeye.mwanasoka atawaletea maendeleo gani sasa
Laki si pesa lakini huwezi ipata bila kuanza na shillingi mojamwanasoka atawaletea maendeleo gani sasa
Police na tume ya uchaguzi pamoja na vyombo vingine vya usalama visiwe sehemu ya chama tawalaTaarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ni pongezi zinazotolewa kwa president elect George Wear wa Liberia. Kiongozi huyu amepitia katika harakati mbalimbali hadi kufikia katika mafanikio aliyoyapata leo. Swali la msingi; Je wanasiasa wa Tanzania wanajifunza nini kutoka kwa George Wear?
Jamaa kasha shinda. Confirmed hata caf wamempa congratulationsIvi kuhesabu kula kumemalizika?
Pia chama makini kisiwe kimbilio la watu wenye tuhuma za ufisadi. Na muhimu chama kisiwe dodoki la kusafisha tuhuma za wenye kutuhumiwa,kwani tuhuma zitakapothibitika itakuwa ni anguko la chamaPolice na tume ya uchaguzi pamoja na vyombo vingine vya usalama visiwe sehemu ya chama tawala
Inachukua muda gani kuthibitisha tuhuma? Tuhuma zisizothibitika zinabaki kuwa uzushiPia chama makini kisiwe kimbilio la watu wenye tuhuma za ufisadi. Na muhimu chama kisiwe dodoki la kusafisha tuhuma za wenye kutuhumiwa,kwani tuhuma zitakapothibitika itakuwa ni anguko la chama
Your argument require a more critical analysis. Actaully; we need to know laws that established their authorities. I do not think the laws established their authorities allows your argument.Police na tume ya uchaguzi pamoja na vyombo vingine vya usalama visiwe sehemu ya chama tawala
Police na tume ya uchaguzi pamoja na vyombo vingine vya usalama visiwe sehemu ya chama tawala
Unapongeza!!¡!!!!!!! Wewe na umri huo ulio nao huna cha kupongezwa kutwa umbeya wa kupongeza wenzio huoni haya.mwangalie loooo!!!!Kama mwana michezo na mpenda soka na mtanzania nakupongeza kwa kuukwaa urais,waongoze wa Liberia kwa kufuata katiba ya Liberia na uishi kama mwanadamu.
Kilaza weweUnapongeza!!¡!!!!!!! Wewe na umri huo ulio nao huna cha kupongezwa kutwa umbeya wa kupongeza wenzio huoni haya.mwangalie loooo!!!!