Barbarosa jibu hili swaliWe unafikiri kwanini hawana?
Barbarosa jibu hili swaliWe unafikiri kwanini hawana?
Duh, jitahidi kutoa mifano inayofanana na suala lililoko mezaniKwani umeme au maji huwa hayakatiki Tanzania pamoja na kuwa watu wamelipia bili?
Sishangai ukawa umezaliwa Within 2000's umekuta kila Kitu kipo.. hujui Nchi ilipotokaWe chizi kweli, machafuko anayeyaanzisha nani? Waq ka wewe ndiyo sababu Tanzania ipo hapo hadi sa hivi linchi ovyo tu ka choo
Be focused, sio wote wanaishi maisha yako!!Kelele zote hizo kushindwa kuingia telegram kucheki mipicha ya ngono.
Mchaga wa kwanza kukosa akili!!!Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Kwa mantiki hioUmeme na maji hivyo vyote vipo kwenye upande wa serikali ya ccm. Kwani haoni watu wakiwa wanalalamikia serikali kila mara juu ya kukatika katika kwa umeme na ukosefu wa huduma ya maji pamoja na miundo mingine kama barabara, huduma ya afya, n.k?
Stupid assumptions, nimazaliaa zamani sana probably kuliko wewe na mambo niliyoyaona ni mengi unlike mnaokaa mnajifungia mnahisi dunia inawazunguka nyie. Get the fck out ujifunze maishaSishangai ukawa umezaliwa Within 2000's umekuta kila Kitu kipo.. hujui Nchi ilipotoka
Kaa kimya
Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Wataelewa wachache sana.Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.
Kila kitu Malaika... sijui kuna yule anatamani apate uongozi pale mbinguni awaongoze maMalaika, mara awe mfagizi miongoni mwao, mara wewe unaota kivyako kuhusu hao maMalaika, unafikiri Mungu amekuumba ili uingilie mamlaka yake kuhusu ma Malaika??? Wa Tanzania kama nyie mlirogwa na nani??Mtandao ni anasa, watu mfanye kazi. Tumeamua kufanya kazi na kuachana na mitandao inayotweza utu wa Mtanzania. Malaika wamekuja kuifungilia mbali.