LHRC yawataka TCRA na Makampuni ya Mawasiliano kutoa ufafanuzi kuhusu hali ya kukatika kwa mtandao nchini

Sikujua kama kupata internet au kutokupata ni ,,haki za Binadamu'' hii ni mpya kwangu, cha ajabu watu wengi maji hayatoki bombani lkn hawatetewi, ...
Umefikiria kwa kutumia nini? Mimi nimejiunga kifurushi cha internet cha mwezi mzima hivyo nimetoa ela yangu ili nipate huduma inayostahiki.

Kitendo cha kubinya huduma ya internet wakati nimeshalipia ni ukandamizaji wa haki yangu. Kuna watu wamejiunga kifurushi cha siku, wiki, mwezi nakadhalika nao wametoa ela zao hawakutoa mawe.

La pili kuna kazi nyingi za kuwaingizia watu kipato zinaharibika kutokana hili tatizo. Mtandao kwasasa ndio inayoendesha biashara mbalimbali ulimwenguni.

Hayo maswala ya maji wahoji serikalinya ccm yako iliyokaaa madarakani miaka tele halafu bado miundo mbinu ni tatizo kwa taifa.
 
Umefikiria kwa kutumia nini? Mimi nimejiunga kifurushi cha internet cha mwezi mzima hivyo nimetoa ela yangu ili nipate huduma inayostahiki. Kitendo cha kubinya huduma ya internet wakati nimeshalipia ni ukandamizaji wa haki yangu. Kuna watu wamejiunga kifurushi cha siku, wiki, mwezi nakadhalika nao wametoa ela zao hawakutoa mawe. La pili kuna kazi nyingi za kuwaingizia watu kipato zinaharibika kutokana hili tatizo. Mtandao kwasasa ndio inayoendesha biashara mbalimbali ulimwenguni.

Hayo maswala ya maji wahoji ccm yako ilikaa madarakani miaka tele halafu bado miundo mbinu ni tatizo kwa taifa.

Kwani umeme au maji huwa hayakatiki Tanzania pamoja na kuwa watu wamelipia bili?
 
Kwani umeme au maji huwa hayakatiki Tanzania pamoja na kuwa watu wamelipia bili?
Umeme na maji hivyo vyote vipo kwenye upande wa serikali ya ccm. Kwani haoni watu wakiwa wanalalamikia serikali kila mara juu ya kukatika katika kwa umeme na ukosefu wa huduma ya maji pamoja na miundo mingine kama barabara, huduma ya afya, n.k?
 
Umeme na maji hivyo vyote vipo kwenye upande wa serikali ya ccm. Kwani haoni watu wakiwa wanalalamikia serikali kila mara juu ya kukatika katika kwa umeme na ukosefu wa huduma ya maji pamoja na miundo mingine kama barabara, huduma ya afya, n.k?

Sasa kwa nini ,,wapigania haki za binadamu '' hawatoi tamko na kuitaka Serikali kujieleza kwa nini watu wanakosa maji na umeme kama internet?
 
Sasa kwa nini ,,wapigania haki za binadamu '' hawatoi tamko na kuitaka Serikali kujieleza kwa nini watu wanakosa maji na umeme kama internet?
Kama kukatika kwa maji na umeme kungehusiana na maswala ya uchaguzi basi bila shaka wangetoa tamko. ila kwasasa ni kwamba wameona watu wanakosa huduma ya kimtandao kwasababu tu ya maswala ya kiuchaguzi ndio maana wametoa tamko.
 
Kama kukatika kwa maji na umeme kungehusiana na maswala ya uchaguzi basi bila shaka wangetoa tamko. ila kwasasa ni kwamba wameona watu wanakosa huduma ya kimtandao kwasababu tu ya maswala ya kiuchaguzi ndio maana wametoa tamko.

OK, kwa hiyo ,,human rights '' ni wakati wa uchaguzi tu?
 
Mitandao hiyo unayoita anasa wengine imetusaidia kujenga nyumba, kusafiri dunia, kuajiri watu zaidi ya 10 ambao na wao wana familia zina wategemea.

Kaa na umaskini wako mwenyewe, nenda kalime maana ndiyo biashara mnaziweza, hizi za kidijitali achia watu smart, baki na ushamba wako
Jibu konki sana

kuna watu ni zero brain kabisa

Tunaofanya biashara mitandaoni ni kilio tupu
 
Waturudishie na fedha zetu tulizowalipa kwa ma-bundle ya, mfano, mwezi. Haiwezekani inilipie mwezi, halafu video hazifunguki, halafu mwezi unapita na kulipia tena. Nalipia nini sasa? Sio wizi huo?

Tena wasichezee pesa zetu! Hatuwezi kupangiwa kuongea! Hawa VODA &Tigo wajinga sana..natamani niwafate huko
 
Kwani kabla ya maswala ya uchaguzi, hawakuwahi kutoa matamko yoyote kwanzia hiko kituo kianzishwe?

Sijawahi kusikia wakitoa tamko la watu kukosa maji au umeme au hata internet yenyewe, kuna maeneo mengi huwa hakuna internet, kuna malalamiko mengi ya watu kuhusu vifurushi kutokuwa kuwa fair lkn sijawahi kusikia wakitoa tamko, ...
 
Washenzi sana, kuna watu tuna maduka ya kuuza vitu instagram tulikua tunalaza more than 2mil kila siku, kodi tunalipa alafu bado ujinga kama huu wanatufanyia. Kama insta biashara imepungua kwa 80% ndani ya hizi siku chache wanaoweza tumia VPN ni wachache mno.
Vumilia tu kwa muda ndugu. Walaumu Sana Hawa wapuuzi wanaotumia mitandao kuhamasisha mambo ya hovyo ya uvunjifu wa AMANI. Amani ikivunjwa kupitia uhamasisho wa hiyo mitandao si kwamba tu mauzo yako yataongezeka au kupungua bali yatapotea kabisa na kupoteza kila kitu. Kwahiyo kuwa na subira vyombo vilivyopewa dhamana ya kulinda Amani yetu vikiweka mambo sawa.
 
Sijawahi kusikia wakitoa tamko la watu kukosa maji au umeme au hata internet yenyewe, kuna maeneo mengi huwa hakuna internet, kuna malalamiko mengi ya watu kuhusu vifurushi kutokuwa kuwa fair lkn sijawahi kusikia wakitoa tamko, ...
Swali langu sijakuuliza kama waliwahi kutoa tamko la kuhusu maswala ya internet, maji na umeme. Bali nimekuuliza je hiko kituo hakija wahi kutoa tamko la aina lolote kwanzia kimeanzishwa?
 
Swala langu sijakuuliza kama waliwahi kutoa tamko la kuhusu maswala ya internet, maji na umeme. Bali nimekuuliza je hiko kituo hakija wahi kutoa tamko la aina lolote kwanzia kimeanzishwa?

Huwa wanatoa matamko lkn mara nyingi huwa yana uhusiano wa moja kwa moja na ,,human rights'', hili la kuifanya internet kuwa human right Tanzania, sijawahi kusikia, ...
 
Jibu konki sana

kuna watu ni zero brain kabisa

Tunaofanya biashara mitandaoni ni kilio tupu
Kama kukatika kwa umeme na maji kunavyotoa opportunity kwa wengine, in sawa na kutokupatikana kwa Network
 
Huwa wanatoa matamko lkn mara nyingi huwa yana uhusiano wa moja kwa moja na ,,human rights'', hili la kuifanya internet kuwa human right Tanzania, sijawahi kusikia, ...
Kwani lini tena ilitokea swala la watu kukosa huduma za kimtandao kisa uchaguzi mpaka useme kuwa haukuwahi kusikia? Hilo jambo limetokea kwa mara ya kwanza na ndio maana umesikia hivi sasa kwa mara ya kwanza likitolewa tamko.
 
Sasa kwa nini ,,wapigania haki za binadamu '' hawatoi tamko na kuitaka Serikali kujieleza kwa nini watu wanakosa maji na umeme kama internet?
Umeme na maji vinaweza kosekana kwa sababu kadhaa kama mateng'enezo, uboreshaji wa miundombinu au hizo huduma kutofika eneo fulani
 
Kwani lini tena ilitokea swala la watu kukosa huduma za kimtandao kisa uchaguzi mpaka useme kuwa haukuwahi kusikia? Hilo jambo limetokea kwa mara ya kwanza na ndio maana umesikia hivi sasa kwa mara ya kwanza likitolewa tamko.

Sikuwahi kudhania kama katika mambo yote ,, internet ni human right '' Tanzania, ni hivyo tu, ...
 
Back
Top Bottom