igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,590
- 3,346
Lakini kuingia au kuridhia hii mikataba si huwa bunge ndiyo linapitisha? Sasa je walivyojitoa huo mwaka 2019 bunge liliridhia hili jambo?UNAFIKI wa kujua hawana nguvu ya hoja hivyo nguvu yao ni kutumia dola ili kuwabambikia Watanzania kesi FAKE ili kuwanyamazisha katika madai ya HAKI, UHURU na USAWA.