LHRC ya Hellen Kijo Bisimba isajiliwe tu kuwa chama cha siasa

Muhammad Saad al-Beshi

JF-Expert Member
Jul 4, 2016
575
959
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.
 
Mbona unaonesha chuki ya wazi kwa CHADEMA na mahaba ya kitandani kwa CCM. Mtaendelea kukosolewa mpaka mtakapotambua kwamba hii nchi ni yetu sote. Lengo ni kuleta demokrasia ya kweli na kuondokana na utawala wa kiimla.
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege,yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile,mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC,unafaa sana.
Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga,Mara na Mwanza hatujaona ukilaani,bure kabisa.

LHRC kwa sasa ndiyo NGO pekee inayosaidia wanyonge kwenye mswala ya kisheria. Ukitaka ushahidi tembelea vituo vyao makao makuu na mikoani uone watu wanavyotetewa bure kuanzia kwa waajiri waonevu, kesi za kubambikiwa za jinai, wajane wanaodhulumiwa mirathi, kesi dhidi vyombo vya dola vinavyonyanyasa wananchi n.k. kwenye siasa ni lazima wapige kelele iwapo demokrasia inapuuzwa. Ulitaka wafanye nini zaidi? CCM kubalini kukosolewa kwani nchi hii ni yetu wote na hata inawezekana wengi wanaotetewa na shirika hili wengi ni wanachama wenu.
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege,yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile,mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC,unafaa sana.
Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga,Mara na Mwanza hatujaona ukilaani,bure kabisa.
Yaani umejiunga jf leo kwa lengo la kumshambulia mama kijo? Kweli lumumba mna kazi
 
Mbona unaonesha chuki ya wazi kwa CHADEMA na mahaba ya kitandani kwa CCM. Mtaendelea kukosolewa mpaka mtakapotambua kwamba hii nchi ni yetu sote. Lengo ni kuleta demokrasia ya kweli na kuondokana na utawala wa kiimla.
Mkuu ni ingizo jipya la lumumba aliyekubali kulipwa buku 2 maana wakongwe wengi wameachia ngazi
 
Mbona unaonesha chuki ya wazi kwa CHADEMA na mahaba , kitandani kwa CCM. Mtaendelea kukosolewa mpaka mtakapotambua kwamba hii nchi ni yetu sote. Lengo ni kuleta demokrasia ya kweli na kuondokana na utawala wa kiimla.
Demokrasia ya kweli ndani ya chadema tu imetushindwa, ingawa tunajiita chama cha demokrasia ,sembuse demokrasia ya nchi. ??!!!!! walau basi ufikiri mara mojamoja kwa kutumia mdomo basi kama kwa akili huna uwezo huo. pigia kelele kwanza kujenga mfumo wa ndani ya chama kabla ya kukurupukia nje ya chama kamanda.
 
LHRC kwa sasa ndiyo NGO pekee inayosaidia wanyonge kwenye mswala ya kisheria. Ukitaka ushahidi tembelea vituo vyao makao makuu na mikoani uone watu wanavyotetewa bure kuanzia kwa waajiri waonevu, kesi za kubambikiwa za jinai, wajane wanaodhulumiwa mirathi, kesi dhidi vyombo vya dola vinavyonyanyasa wananchi n.k. kwenye siasa ni lazima wapige kelele iwapo demokrasia inapuuzwa. Ulitaka wafanye nini zaidi? CCM kubalini kukosolewa kwani nchi hii ni yetu wote na hata inawezekana wengi wanaotetewa na shirika hili wengi ni wanachama wenu.
nashauri kama kukosoa wangeanzia chadema. manake huku ndio kwenye ukandamizaji wa haki za binadamu wa uhuru wa mtu kujiamulia mambo. ukihoji tu matumizi ya fedha yapoje unafukuzwa kutoka kwwnye chama. ukitaka kugombea uenyekiti na Mbowe unaambiwa achia hujui watu wamekitoa wapi chama hiki. saaa baasi ni ukandamizaji kwa kwenda mbele
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege,yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile,mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC,unafaa sana.
Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga,Mara na Mwanza hatujaona ukilaani,bure kabisa.
Usajili dirisha dogo,nlichogundua mtajaa sana lumumba maana ndo kichaka cha wanaokimbia operesheni ya makonda
 
Ujambazi hauna uhusiano na haki za binadamu.
Chama cha siasa lengo lake ni kushika dola.
LHRC haina shabaha ya kushika dola.Wao ni watetezi wa haki za binadamu.
 
Demokrasia ya kweli ndani ya chadema tu imetushindwa, ingawa tunajiita chama cha demokrasia ,sembuse demokrasia ya nchi. ??!!!!! walau basi ufikiri mara mojamoja kwa kutumia mdomo basi kama kwa akili huna uwezo huo. pigia kelele kwanza kujenga mfumo wa ndani ya chama kabla ya kukurupukia nje ya chama kamanda.
Umeandika nini sasa!!!?? Dalili zinaonyesha nawe unatafutwa.......
 
Ujambazi hauna uhusiano na haki za binadamu.
Chama cha siasa lengo lake ni kushika dola.
LHRC haina shabaha ya kushika dola.Wao ni watetezi wa haki za binadamu.
Mkuu huyo mleta mada ni lumumba fc usajiri mpya si unajua msimu wa usajili umefunguliwa juzi tu?
 
Usajili dirisha dogo,nlichogundua mtajaa sana lumumba maana ndo kichaka cha wanaokimbia operesheni ya makonda
Sasa tutakoma maana hawana kazi ya kufanya,wanaona afadhali ya kupokea hiyo buku 2,makonda kawaua
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.
Kwani LHRC sio mshirika wa UKAWA.... siku zote hili Genge huwa halina tofauti na Chadema, bavicha, NCCR....
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom