LHRC ya Hellen Kijo Bisimba isajiliwe tu kuwa chama cha siasa

LHRC kwa sasa ndiyo NGO pekee inayosaidia wanyonge kwenye mswala ya kisheria. Ukitaka ushahidi tembelea vituo vyao makao makuu na mikoani uone watu wanavyotetewa bure kuanzia kwa waajiri waonevu, kesi za kubambikiwa za jinai, wajane wanaodhulumiwa mirathi, kesi dhidi vyombo vya dola vinavyonyanyasa wananchi n.k. kwenye siasa ni lazima wapige kelele iwapo demokrasia inapuuzwa. Ulitaka wafanye nini zaidi? CCM kubalini kukosolewa kwani nchi hii ni yetu wote na hata inawezekana wengi wanaotetewa na shirika hili wengi ni wanachama wenu.
Unabwabwaja kama bata, umeambiwa mbona hajalaani mauaji ya innocent civilians huko Tanga na Mwanza? Au hujaelewa!
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.


umelisahau jeshi la polisi la Tanzania.
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.

ukiona taasis mhim kama hii imeajira watu kikabila lazima iogope , asilimia 90 ya wafanyakazi wanatokea Kilimanjaro ambayo ndiko mizizi ya chama pendwa
 
Sikushangai maana kwa mwana lumumba aliye kosa uteuzi lazima awe ni wa kuporomosha matusi tu .na utaishia kufagia na kupikia wanene chai hapo lumumba
Mimi sifuti viatu vya Mbowe, nini kazi zangu binafsi na sitegemei mtu.
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.

Umefungua akaunti mpya ili tu uiseme taasisi kwa kuwa umechukizwa na ukosoaji wake. Hata usinchoshe, google upate akili.
 
Hiki kituo kinachojipambanua kutetea haki za binadamu kinachoongozwa na huyu mama mahiri wa kichaga huwa sikielewi kabisa.

Linapokuja suala linalogusa haki za binadamu huyu mama huwa mgumu sana kutoa matamko ya kulaani yaani huwa domozege, yanapokuja masuala ya kisiasa hasa yanayoihusu chadema utasikio ooh mara hivi mara vile, mama vunja hicho kituo ugombee uongozi chadema hata uenyekiti wa bawacha umng'oe mdee kuliko kujifichaficha kwa mgongo wa LHRC, unafaa sana.

Mfano mzuri mauaji yaliyotokea Tanga, Mara na Mwanza hatujaona ukilaani, bure kabisa.

Mambo gani yanayohusu chadema, yasiyohusiana na haki za binadamu ambayo aliwahi kuyasemea? Uwe mkweli.
 
Back
Top Bottom