Tatizo sio habari isipokuwa wewe kuitaja CDM kwani REDIONI waliwataja CDM au walikanusha maandamano.Ndugu yangu katika bwana ni habari iliyokuwa kwenye radio au nimefanya mbaya kuwaletea jamvini ili muweze kuwajua wanaoivuruga hii nchi yetu?
hivi Chadema wananguvu kiasi gani hadi wahusishwe na kila tukio hapa Tanzania.?
Tatizo sio habari isipokuwa wewe kuitaja CDM kwani REDIONI waliwataja CDM au walikanusha maandamano.
Yap mkuu, nadhani hata wale wanasisimwewe walioandamana kupinga mgomo wa madr "walichochewa" na cdm!!!!UVCC Mwanza waliandamana jana, nao walichochewa na CHADEMA?
Huyo bwana ni mani??Ndugu katika Bwana kwa kuwa wale tuliokuwa tunajua ndio wameeanda kumbe si hao basi hawa(Chadema) ndio wanafiki kwa maana wameyatangaza sana hayo maandamano ya kesho
Watu wanamna hiyo ndani ya jamii huitwa wanafiki
Join Date : 29th June 2012
Expect PUMBA+
Ndugu yangu katika bwana ni habari iliyokuwa kwenye radio au nimefanya mbaya kuwaletea jamvini ili muweze kuwajua wanaoivuruga hii nchi yetu?
hivi Chadema wananguvu kiasi gani hadi wahusishwe na kila tukio hapa Tanzania.?
Huyo bwana ni mani??
Naona unawashwa, kila mtu unamuiya bwana!! bwana!!
Mkuu vipi, unategemea wangapi tena kwenda kutalii kule kwenye kivutio cha kimataifa cha Mabwepande?
Tena maandamano yamechelewa sana kufanyika!
punguza povu. nyinyi ndo mlouwa chama chetu kwa chuki zenu za kidini
Napata shida sana kwa matumizi ya maneno haya! lakini sio ajabu kwani hata shetani akizeeka hujifanya malaika mwema. Ebu yasome maneno yako mwenyewe yaliyojaa chuki, uzandiki na unafiki halafu linganisha na matumizi ya maneno hapo kwenye rangi nyekundu! Ama kweli mnatumika kama kondom!Ubarikiwe sana na bwana atakusamehe kwa kuwa hujui ulitendalo
Ule unafiki wa CHADEMA kutumia migongo ya Taasisi mbalimbali kujinufaisha kisiasa umebainika l
Unafiki huo umebainika baada ya wakurugenzi wa vituo vya haki za binaadam kukanusha kupanga maandamano ya kesho
Wakiongea na kipindi cha JAHAZI cha Radio Clouds wamekanusha kupanga maandamano hayo na kusema kunawalioyanga kwa faida zao kisiasa ni bora wakawa wazi kuliko kuvihusisha vituo hivyo
My take: kama mmepanga kuandamana si muweke hadharani ya kuwa ni nyie wenyewe kuliko kuwahusisha watu ambao hawajapanga kama mlivyompiga Dk Ulimboka na kujaribu ku hide sasa mmeanza kumwaga
Hivi Hemed Msangi Kumbe alishawahi kuwa mbunge?Yule aliyetemwa Ubunge kule kaskazini ndio kumbe aliongoza watekaji wa Dk Uli dah dah sasa watu wamestuka
Na hili la maandamano kumbe mlizunguka chocho mkamwagwa ama kweli maji ya shingo