WAKATI sakata la mauaji katika Mgodi wa North Mara likiwa halijapoa, Jeshi la Polisi limezidi kuingia katika tuhuma za uvunjaji wa haki za binadamu kwa kufanya mauaji kinyume cha sheria, Ripoti ya Haki za Binadamu nchini kwa mwaka 2010 imesema kuwa kwa mwaka huo pekee, vyombo vya dola vyenye wajibu katika kusimamia utekelezaji wa sheria za nchi, vimeua wananchi 52.
Source Majira:
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Vyombo vya dola vimeua watu 73
Source Majira:
GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Vyombo vya dola vimeua watu 73