Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kituo cha Sheria na haki za binadamu (LHRC) kimetangaza kutuma watazamaji wake katika vituo vyote vya kupiga kura siku ya Jumapili kuangalia upigaji kura na zoezi la kuhesabu kura.. Mimi ninavyoona CCM hawatapenda hii, watasema kisheria na kikanuni hakutakiwi watazamaji kutoka taasisi binafsi kuangalia upigaji kura na kuhesabu kura.
Tususbiri tuone.
Chanzo: Ch10 news saa moja usiku huu.
Tususbiri tuone.
Chanzo: Ch10 news saa moja usiku huu.