Letter to doctor

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Letter to Doctor.jpg
 
mh hatari kuuuuuuubwa jaman!!!!!
popote ni mahali pa vita siyo?
wakat ananyosha,anaosha vymbo anaoga anafua....dah kaz kweli kweli
lakin asi swaga tu au kuna watu weeeeeng ndani umo?
ya kidhungu ennh i barua?mabig aya masmall yana afadhali
 
mh hatari kuuuuuuubwa jaman!!!!!
popote ni mahali pa vita siyo?
wakat ananyosha,anaosha vymbo anaoga anafua....dah kaz kweli kweli
lakin asi swaga tu au kuna watu weeeeeng ndani umo?
ya kidhungu ennh i barua?mabig aya masmall yana afadhali
Rose umegundua nini kuhusu hiyo barua hasa mwishoni?
 
Rose umegundua nini kuhusu hiyo barua hasa mwishoni?
the theme of the stor iz;

1.kutumika sana kimapenz
mdada analalama kwamba mumewe/bf wake anamparamia popote anapomwona iwe anapika jikon,anaosha vyombo anafua ,usiku wamelala yan vibaya kumwona jamaa akimwona tu dada anataka kumdandia ndo mana mdada kaamua apeleke malalamiko kwa dr ili km kuna tiba husika basi asaidiwe mumewe atibiwe ili yeye apumzike kdg

2.nimegundua kwamba uyo mwanaume ni shabibu wa maana kwamba 24/7 yupo on siyo mpk apepewe au akamuliwe ndimu ndo kitu kichachamae

3.nimegungua uyu dada ni sista duu fulani ivi wale wadekaji kitu kdg tu wanamtafuta baba paroko,mshenga au rafiki wa mume kumpa mashtaka

4.nimegundua pia uyu dada ni wakudeka sana ndo mana shuguli kdg tu anaona tabu /usumbufu.ni sampuli ya wale wadada katikati ya gwaride utaskia .......ahh honey plsssss i wann break...i wann tak cup of coffeee.....ahh jaman kati kati ya shuguli so itakubid mkaka tena usitishe shuguli umwache apate cup of coffee kwanza ndo mwendelee

5.uyu dada ni old dudu ...traditional saaana ye kamezeshwa kwamba NJWANGAMBA INAFANYIKA USIKU TU WAKAT TAA IMEZIMWA SO izi donyoa sonyoa nyngine sjui seblen,jikon store ye anaona tabu kubwaaaaaaaaa

6.uyu dada dzain kasomea sheria so anajua wat is left wat is right pasipo kutambua mengneyo hayana formula wala code ni vululu vululu tu!!!!!!!!!!!!
NIMEKURIDHISHA AMBASSADOR??????hp so.byeeeeeeeeeeeeeeeee:A S-baby:!!!!!!!!!!!
 
Jamaa alikuwa anadu ze nidiful while bibie anaandika hiyo barua duh kazi kweli kweli.
hahahaaaaaaaaaaa hahah!!!!!!!!
kweli tupu yan
asi unaona ata mwandiko wenyew wa mwsho?
dah jamaa mbya yan kaona pooooooa tu we andika mashtaka yako ambatanisha na ushaidi kabisa so ngoja mi niendelee wakat we waendelea kuandka!!!!!!!
mmh hatttttttttttttttari !!!!!!!!!
 
the theme of the stor iz;

1.kutumika sana kimapenz
mdada analalama kwamba mumewe/bf wake anamparamia popote anapomwona iwe anapika jikon,anaosha vyombo anafua ,usiku wamelala yan vibaya kumwona jamaa akimwona tu dada anataka kumdandia ndo mana mdada kaamua apeleke malalamiko kwa dr ili km kuna tiba husika basi asaidiwe mumewe atibiwe ili yeye apumzike kdg

2.nimegundua kwamba uyo mwanaume ni shabibu wa maana kwamba 24/7 yupo on siyo mpk apepewe au akamuliwe ndimu ndo kitu kichachamae

3.nimegungua uyu dada ni sista duu fulani ivi wale wadekaji kitu kdg tu wanamtafuta baba paroko,mshenga au rafiki wa mume kumpa mashtaka

4.nimegundua pia uyu dada ni wakudeka sana ndo mana shuguli kdg tu anaona tabu /usumbufu.ni sampuli ya wale wadada katikati ya gwaride utaskia .......ahh honey plsssss i wann break...i wann tak cup of coffeee.....ahh jaman kati kati ya shuguli so itakubid mkaka tena usitishe shuguli umwache apate cup of coffee kwanza ndo mwendelee

5.uyu dada ni old dudu ...traditional saaana ye kamezeshwa kwamba NJWANGAMBA INAFANYIKA USIKU TU WAKAT TAA IMEZIMWA SO izi donyoa sonyoa nyngine sjui seblen,jikon store ye anaona tabu kubwaaaaaaaaa

6.uyu dada dzain kasomea sheria so anajua wat is left wat is right pasipo kutambua mengneyo hayana formula wala code ni vululu vululu tu!!!!!!!!!!!!
NIMEKURIDHISHA AMBASSADOR??????hp so.byeeeeeeeeeeeeeeeee:A S-baby:!!!!!!!!!!!
Duh! Umejibu over-syllabus!! Na hiyo unanyonya nini (baada ya byeeeeee)?
 
Duh! Umejibu over-syllabus!! Na hiyo unanyonya nini (baada ya byeeeeee)?
hahha haa uktaka nikupe na wewe unyonye.............!!!!!!!!
nilijua unataka jibu la ...wakat anaandika alikuwa anafyatuliwa pia..hahha hahaaaaaaa tokazako!!!!
 
hahha haa uktaka nikupe na wewe unyonye.............!!!!!!!!
nilijua unataka jibu la ...wakat anaandika alikuwa anafyatuliwa pia..hahha hahaaaaaaa tokazako!!!!
Teh teh teh! Nipe na mimi ninyonye mama. Nitoke zangu? Kama vile unaona aibu! Teh teh teh!
 
Teh teh teh! Nipe na mimi ninyonye mama. Nitoke zangu? Kama vile unaona aibu! Teh teh teh!

hahahaaaa APO NAKUNG'ONG'A BABU SI KM NANYONYA......
ivi ndo kusema ata ujui wananyonyaje jaman?ata picha ya kunyonya aujawai kuona?ata km aujawai kunyonya chochote au aujawai kunyonywa jaman aaahh ata picha kuizngatia inakushnda??????
stak mie skup ninachokinyonya wewe ntakung'ong'a tu bas!!!!!!!!!!!
 
hahahaaaa APO NAKUNG'ONG'A BABU SI KM NANYONYA......
ivi ndo kusema ata ujui wananyonyaje jaman?ata picha ya kunyonya aujawai kuona?ata km aujawai kunyonya chochote au aujawai kunyonywa jaman aaahh ata picha kuizngatia inakushnda??????
stak mie skup ninachokinyonya wewe ntakung'ong'a tu bas!!!!!!!!!!!
Mmh! Kung'ong'a!! Haya mama, nitakutafuta unionyeshe ufundi wako wa kung'ong'a!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom