Mr.genius
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,369
- 1,169
Kulingana na usawa huu ulivyo, na jinsi kipato kilivyo kigumu upatikanaje wake na hata kinapopatinakana hakikidhi mahitaji na hapo hapo unahitajika uweke akiba i wonder how is it possible kwa uchumi huu nilionao!.
My personal story.
Ni kijana nimeajiriwa mahali mshahara wangu ni Tsh 250,000 per month najitegema lakini bado sijaoa! Kwa muda sasa nimekua nikipambana kufanya savings kwa sababu najua umuhimu wake hasa kwa wakati wa shida na pia hata kama si wakati wa shida unaweza jiwekea akiba ili uweze kufikia malengo fulani ya kiuchumi like kupata mtaji wa kuanzisha biashara e.t.c!
Lakini mambo yamekua si rahisi hivyo mshahara haunitoshi kulingana na mahitaji niliyonayo na pamoja na kujitahidi kujibana na kwa maana hiyo haufiki hata mwisho wa mwezi hua nakaaga natafakari hivi kwa mtindo huu mshahara kutotosha ikitokea nimeachishwa kazi sasa hivi ka akiba kangu kadogo ninakojiwekea kanauwezo wa kunitosha hata kwa wiki mbili zaidi kweli??
Nimeuleta uzi huu wa changamoto zangu binafsi kufahamu wenzangu linapofika suala la saving mnakabialiana nalo vipi na je, una kiwango cha kutosha cha saving ikitokea chanzo chako cha mapato mirija imekatwa? Mwenzangu unatumia njia zipi unazoziamini katika kufanya saving? Let me hear from you, let's talk about savings!
My personal story.
Ni kijana nimeajiriwa mahali mshahara wangu ni Tsh 250,000 per month najitegema lakini bado sijaoa! Kwa muda sasa nimekua nikipambana kufanya savings kwa sababu najua umuhimu wake hasa kwa wakati wa shida na pia hata kama si wakati wa shida unaweza jiwekea akiba ili uweze kufikia malengo fulani ya kiuchumi like kupata mtaji wa kuanzisha biashara e.t.c!
Lakini mambo yamekua si rahisi hivyo mshahara haunitoshi kulingana na mahitaji niliyonayo na pamoja na kujitahidi kujibana na kwa maana hiyo haufiki hata mwisho wa mwezi hua nakaaga natafakari hivi kwa mtindo huu mshahara kutotosha ikitokea nimeachishwa kazi sasa hivi ka akiba kangu kadogo ninakojiwekea kanauwezo wa kunitosha hata kwa wiki mbili zaidi kweli??
Nimeuleta uzi huu wa changamoto zangu binafsi kufahamu wenzangu linapofika suala la saving mnakabialiana nalo vipi na je, una kiwango cha kutosha cha saving ikitokea chanzo chako cha mapato mirija imekatwa? Mwenzangu unatumia njia zipi unazoziamini katika kufanya saving? Let me hear from you, let's talk about savings!