nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
binafsi nakuunga mkono mkuu, ni miongoni mwa wabunge mizigo.Huyu mama ni mbunge wa chama changu, ila ni kati ya wabunge mzigo ndani ya chama. Uwa hana hoja zenye mashiko. Ni msharuko sana. Si ndio huyu alisema wanaume wasioweza kutongoza mpaka wanabaka waanzishiwe vyuo vya kutongoza. Sasa haya ni maneno ya kutoka kwa mbunge wa CHADEMA kweli?