utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Leticia Nyerere, mbunge wa viti maalum chadema akichangia bungeni hivi sasa amesema yeye ni mtaalamu wa teknolojia ya CYBER CRIME, anaitaka serikali iwakamate mara moja watumiaji wa mitandao ambao wanatumia muda wao mwingi kutukana watu, wakiwamo viongozi mbalimbali.. ametoa mfano wa matusi yaliyotumwa kwa naibu spika na spika.
Amesema wapo watu hivi sasa wapo ndani lakini hataki kuwataja majina kwa kosa la kuchafua watu mitandaoni.
Nyerere anasema nyie kutwa mnakesha kutukana watu tuuuuu, wakati huyo unayemtukana anadunda tu hata habadiliki, si uache ufanye kazi nyingine????
Anasema watu wapo tu wanaangalia bunge anatafuta leo amtukane nani, akatolea mfano wa watu kumtukana SITTA, naibu spika akasema yeye ni mhanga ametukanwa sana.
wana JF, MNALIONAJE HILI????????????
Amesema wapo watu hivi sasa wapo ndani lakini hataki kuwataja majina kwa kosa la kuchafua watu mitandaoni.
Nyerere anasema nyie kutwa mnakesha kutukana watu tuuuuu, wakati huyo unayemtukana anadunda tu hata habadiliki, si uache ufanye kazi nyingine????
Anasema watu wapo tu wanaangalia bunge anatafuta leo amtukane nani, akatolea mfano wa watu kumtukana SITTA, naibu spika akasema yeye ni mhanga ametukanwa sana.
wana JF, MNALIONAJE HILI????????????