Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.