Leteni ushahidi wa namna Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilivyoharibu mahusiano ya kimataifa

Urojogang

Senior Member
Nov 26, 2021
113
164
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Njoo na ile ID yako nyingine kwanza ndiyo tukujibu
 
Usiwafuatilie sana hao mkuu.

Wanatafuta namna ya kusafiri na kula pesa za safari kila kukicha.

Hiyo ni justification tu ya kusafiri.

Kataa wahuni.
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Wabwekaji wote ni cacaphonous wangekosoa facts kama alivyokua anakosoa TL lively badala ya sisi hivi kukosoa marehemu ambae hana pumzi.

No.6 ama 5 kumbukumbu zinaniambia aliongeza balozi mpya. Na kama maahusiano yetu ndio yamekua vizuri mbona huko demokrasiani duniani hatualikwi.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Bulembo lete majibu hapa venginevyo kaa kimya. Waandishi ulizeni haya maswali kwa wanasiasa wanafiki kama Bulembo
 
Uhusiano wetu na nchi zingine haukuvurugwa, ila mabeberu walitususa kutokana na miradi muhim ya maendeleo alioanzisha jpm kama stigler, jnpp, bomba la mafuta toka uganda.... mabeberu wakaona wivu!
 
Enyi walimwengu

Naomba msaada kujulishwa hayati JPM akiwa raisi alivunja mahusiano gani na nchi mbali mbali Na jumuia za kimataifa ambazo leo nasikia wengi wakitamka kuwa sasa mahusiano hayo yaliyovunjwa awali yanatejeshwa kwa kasi sana.

Angalizo

kwa waleta majibu ya maswali hapa chini ndo watakaotupa ukweli wa mahusiano aliyoyavunja Mwenda zake JPM . Vingenevyo tuache uongo chuki na fitina zisizojenga taifa letu.

1. Mtupe majina ya nchi Na jumuia za Kimataifa tulixovunja mahusiano ktk awamu ya JPM Na mwaka tuliouvunja uhusiano huo.

2. Mtwambie ni marejesho gani yanayofanyika sasa ya mahusiano ambayo awali aliyavunja Magufuli?

3. Mtwambie MIKOPO iliyokopwa kipindi cha JPM ilikopwa kutoka taasisi Na jumuia zipi za kimataifa ambazo kwa sasa mnakopa yeye alishindwa?

4. Ziara zilizofanywa Na viongozi wa mataifa mbali mbali kutoka nje ya nchi kuja tanzania walikuwa wakija Na kusaini mikataba Na JPM haikuwa sehemu ya mahusiano ambayo sasa kitakwimu hayapo?

5. Ni nchi ngapi zilifunga balozi zake hapa nchini kutokana na kuvunjika kwa mahusiano Kati yetu Na wao kipindi cha JPM?

6. Tanzania ilifunga balozi ngapi nje ya nchi Baada ya JPM kuingia madarakani Na baada ya kuondoka kwake sasa zimefunguliwa?

Vinginevyo kaeni kimya mwacheni mama Samia atimize wajibu wake kwani ndiye rais wetu Na Mwenye dhamana kwa sasa Na ni wajibu wake kuleta maendeleo ya taifa hili.

Uongo ni dhambi Na kumsingizia Marehemu uongo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Wakileta niTag
 
Back
Top Bottom