Kuna haya maneno yenye nguvu "Let My People Go" Tumeteseka vya Kutosha na sasa maombi yamefika. Ujumbe ndio huu Kikwete "Hatukuwachagua" Tunataka kujenga Taifa letu na umekuwa kipingamizi mkubwa. Kikwete na Pinda, let Tanzanians Rebuild Their Lives. Mwisho wenu umefikia hapa, tumenyamaza vya kutosha na kutishiwa vya kutosha. Kila kitu kina mwisho wake na ccm ni huu
Wale Walio "Legitimize" Uraisi wa Kikwete ndio Wanaowatesa Watanzania.
Mwizi ni Mwizi
Mwizi ni Mwizi