hata lab ya kutengeneza Panadol huna afu unasema chanjo inatengenezwa ni ya kufuta DNA ya mwafrica, nani kamwambia duniani hapa mwafrica ni threat? kama kukuua wangekuua kwenye chanjo za Ndui, Polio na Pepopunda na Kifaduro ile miaka ya 70Sina sababu ya kubishana na wewe.Mkuu science ni fani,wewe obviously sio scientist,nyamaza usionekana mjinga.