Nxt Millionaire
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 406
- 89
Vyombo vyoote vya habari nchini na dunia jana na leo vimetawaliwa na habari ya kifo, kifo cha mtu ambaye pengine wengi hawakuwa wakimfahamu hapo kabla, hakuwa maarufu sana, lakini alikuwa muhimu sana, wapo watu kadhaa wanaweza kuwa wanafurahia ubunifu wake katika maisha yao ya kila siku lakini hawajui ni nani aliye nyuma ya kifaa hicho watumiacho, ni kawaida kabisa, lakini wapo watu na pengine walio wadadisi walikuwa wanamfahamu.
Historia ya maisha yake na mafanikio aliyoyapata ndio hasa yaliyonisukuma kuandika kidogo kile nilichojifunza toka kwake, mfano
"Your time is limited, so don't waste it living someone else's life. Don't be trapped by dogma – which is living with the results of other people's thinking. Don't let the noise of other's opinions drown out your own inner voice. And most important, have the courage to follow your heart and intuition. They somehow already know what you truly want to become. Everything else is secondary." SJ
RIP Steve Jobs, Genius, Visionary and Change Maker.
Steve, amenikumbusha ile thread ya Are you working harder or SMARTER? icheki hapo kama uliikosa.
Historia ya maisha yake na mafanikio aliyoyapata ndio hasa yaliyonisukuma kuandika kidogo kile nilichojifunza toka kwake, mfano
- Historia yako haina uhusiano na mafanikio yako maishani,
- kwamba, wazazi wako, utajiri au umasikini wao hauna uhusiano wowote na mafanikio yako,
- Elimu si kigezo .....isome kwa UNDANI ZAIDI HAPA
"Your time is limited, so don't waste it living someone else's life. Don't be trapped by dogma – which is living with the results of other people's thinking. Don't let the noise of other's opinions drown out your own inner voice. And most important, have the courage to follow your heart and intuition. They somehow already know what you truly want to become. Everything else is secondary." SJ
RIP Steve Jobs, Genius, Visionary and Change Maker.
Steve, amenikumbusha ile thread ya Are you working harder or SMARTER? icheki hapo kama uliikosa.