Leseni zetu Bongo

Kilinzibar

Senior Member
Mar 6, 2008
124
1
Nimekaa nikaona hii haijakaa sawa kabisa.....ivi serikali yetu hasa wenzetu wale wa usalama barabarani wamekaa tu hata kufikiria kubadili hivi vijikaratasi eti ndio leseni zetu za kuendeshea magari kuwa katika mfumo wa kisasa kama wa bank card au jata vitambulisho vya makazini....wadau hebu toeni maoni kuhusu ili hapa nilipo kijitabu changu choka mbaya nanilisha pigwa bao huko duniani kuwaonesha wazee wenyewe walichoka walijua nimechonga tu mwenyewe.

ila kweli hawa jamaa wa usalama wasijaze matumbo tu lazima vichwa vyao vifanye kazi angalau.

wadau mnasemaje hapa
 
Hapo kweli umenena zile Leseni toka zidesigniwe miaka hiyoooo mpaka leo ni vivyo hivyo..
Wakati serikali ipo kwenye mchakato kuhusu vitambulisho vya uraia basi hata leseni za kuendeshea magari hazina budi kuboreshwa mara dufu kwani zinawahi kuchoka mapema kutoka na misuko suko ya kuwekwa mfukoni....tunatambua waziri wa usalama wa raia atakuwa ameliona na analiona kazi kwake sasa...
 
Back
Top Bottom