Waziri mwenye dhamana hii tunakuomba ufuatilie hili, kwa ujumla hali sio nzuri tunakuomba uingilie kati leseni zinazotolewa na serikali kupitia ofisi yako hazitambuliki hapa Babati.
Yaani serikali inatoa leseni alafu inashindwa kusimamia leseni husika,matokeo yake sisi wananchi tunaanza kutoana ngeu kisa viongozi wameshindwa kusimamia hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.