Eliya Mkama
Member
- Aug 12, 2019
- 6
- 1
Naomba kujua ni kwa namna gani naweza kupata kibali cha biashara cha magufuli kwa maana mm ni natarajia kuwa na biashara ya juice
Leseni ya Magufuli watu hawaijui na haipo.
Lkn ungesema kitambulisho cha wamachinga hapo waungwana wanaweza kukusaidia.