Leseni kwa Mawakala (M-Pesa, Airtel Money, tiGo Pesa na Halo Pesa) wote nchini

rich1

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
2,967
3,189
Naona BOT (Bank of Tanzania) imetoa walaka kwa mawakala wote wanaotoa huduma za kifedha waende wakakate leseni ya biashara

Basi na toa shikamoo kwa Serikali ya CCM na Magufuli.
 
Naona uku kwetu afisa biashara anakomaaa kinouma.....cjapata uwo walaka ila anasema sheria ya sasa hivi ndo inasema hivyo.
 
Duu, hatari sana. Kumbe ndo chanzo cha lile zoezi lililokuwa linaendelea la kusajili watoa huduma wote wa hujuma za kifedha
 
Duu, hatari sana. Kumbe ndo chanzo cha lile zoezi lililokuwa linaendelea la kusajili watoa huduma wote wa hujuma za kifedha
Yaaap.....apo majukwaan tunaambiwa hii n serikali ya wanyonge.
 
Apo apo TCRA kila mwisho wa wanachukua ten percent kwa kila commission itakayo ingia kwenye lain mfano ukipata 500,000/= wanabeba 50,000/= hiyo kwa lain moja zikiwa 4 shs 200,000/=.....nasema ccm oyeeeeee
Aisee
 
Vijana fanyeni mageuzi la sivyo hawa watoto wa vigogo watawakamua mpaka mtoe jasho la damu.
 
Big up kwa huo waraka kwani uta-level the plain field na kupunguza chaos ilioletwa na watu vibali vya 20,000/= wanaofanya miamala kwenye mabanda ya mabati au chini ya miamvuli wakati wenzao wanalipia leseni na frame za maduka yao.
Hopefully, sparks zilizoanza kujionyesha kwenye campaign na wagombea zitafutiliwa mbali vibali hivi vya kero at the expense formal business license holders.
 
Tanzania bado ni nchi moja nzuri kwa wafanya biashara wadogo wadogo. Ni nchi chache ambapo unachukua frem unakata leseni ya kufungua duka la hardware, lakini hapo hapo unaweka mpesa, hapo hapo unaweka vinywaji baridi, unauza dawa za kuuza mbu, unauza gas n.k.
Japo kuuza gas nako siku hizi kunahitaji kibari chake ila mambo yalikuwa safi kabisa.
Unakuta mtu ana duka la nafaka, ila anauza vinywaji baridi, vocha, mpesa, pombe yani zile K-vant, vitenge, gas yani mix. Hili jambo nadra sana kulikuta nchi za west africa. Kama ni chakula unauza chakula tu. Kama ni vinywaji ni vinywaji tu.
 
Duu, hatari sana. Kumbe ndo chanzo cha lile zoezi lililokuwa linaendelea la kusajili watoa huduma wote wa hujuma za kifedha
Kuna usajili wa watoa huduma za fedha wote kwenye kanzidata/database, na pia sheria ya huduma ndogo za fedha ya 2018 inazitaka taasisi za fedha Kama microfinance companies na wakopesha fedha binafsi kupata leseni.
 
Back
Top Bottom