Leonardo da Vinci alimaanisha nini katika picha hii? Nani alizunguka dunia kusambaza hii Teknoloji miaka ya BC?

swali lako je nani alipeleka technologia hiyo? jibu ni mtu mweusi ndo alipeleka kote duniani kwa kuwa mwanzoni hakukuwa na mtu mweupe dunia yote ilikua blacks ndo maana kuna mlingano huo wa ujenzi
 
swali lako je nani alipeleka technologia hiyo? jibu ni mtu mweusi ndo alipeleka kote duniani kwa kuwa mwanzoni hakukuwa na mtu mweupe dunia yote ilikua blacks ndo maana kuna mlingano huo wa ujenzi
Uthibitisho upi ulionao..?
 
mkuu teknolojia ilikuwepo enzi na enzi na ndo maana gunduz mbali mbali zilikuwepo toka zamani...
 
SALUTE COMRADES

Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini!

Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda lingine kusambaza hii teknolojia?

Ikumbukwe mpaka leo hii mzungu hajaweza gundua haya majengo yalijengwa vipi. Yapo bara la Africa, Asia na America.

View attachment 750214

Pia tujiulize kwanini yote yamejengwa na milango mitatu na mmoja mkubwa wa katikati? Nini maana yake? Nini maana ya namba 3?

Leonardo Da'Vinci katika mchoro/picha yake inayofahamika kama The Last Supper, pia ameweka hiyo milango mitatu!

View attachment 750215

What does it mean?

Cc
Palantir zitto junior Malcom Lumumba Astelia
The 3 doors look photoshopped to me
Especially those on the Pyramids

In terms of dimensions tu..ukubwa wa pyramid na hio milango haviendani

Mwonekano nnaoujua wa Pyramids ni huu
Labda utupatie picha zaidi za Pyramid zikiwa na hio milango

2A8F8763-DD46-4AC9-B272-070EDAF5A700.jpeg
 
mkuu uli soma shule ya msingi zamani kuwa kulikua na bara moja duniani?
baadae ukatokea mpasuko ndio yakapatikana mabara ya sasa?
Mkuu ni karne nyingi sana zimepita mm naamini walikuepowatu kama sisi hivi tena walioendelea vilivyo ila jamii yao ikaenda ikaisha... ndio maana hata watu wa mwaka 47 hatufanani nao ,na sisi pia hatutafanana na wa mwaka 2050 mabadiliko zaidi yatatokea
Nimebaki kucheka tu. Ni kweli dunia ilikuwa moja. But by then binadamu alikuwa hajatokea. Inabidi ukasome vizuri historia ya dunia na ujio wa hominids.
 
Nimebaki kucheka tu. Ni kweli dunia ilikuwa moja. But by then binadamu alikuwa hajatokea. Inabidi ukasome vizuri historia ya dunia na ujio wa hominids.
Ba peoples wamelike kabisa kumaanisha wameelewa alichoandika.. bila kufikiria
 
mkuu uli soma shule ya msingi zamani kuwa kulikua na bara moja duniani?
baadae ukatokea mpasuko ndio yakapatikana mabara ya sasa?
Mkuu ni karne nyingi sana zimepita mm naamini walikuepowatu kama sisi hivi tena walioendelea vilivyo ila jamii yao ikaenda ikaisha... ndio maana hata watu wa mwaka 47 hatufanani nao ,na sisi pia hatutafanana na wa mwaka 2050 mabadiliko zaidi yatatokea
Acha fix.... hilo bara ni mil ya miaka.
 
Nimebaki kucheka tu. Ni kweli dunia ilikuwa moja. But by then binadamu alikuwa hajatokea. Inabidi ukasome vizuri historia ya dunia na ujio wa hominids.
Acha fix.... hilo bara ni mil ya miaka.
Ba peoples wamelike kabisa kumaanisha wameelewa alichoandika.. bila kufikiria
👐😦🙄
kwenu wasomi / Wajuzi wetu wa Jf
Tumekoma kucomment vitu tusivyovijua, tunaomba mtusamehe.Kwanzia leo tutaacha kuongea upumbavu!

wako nisiojua kitu Vi rendra
 

kwenu wasomi / Wajuzi wetu wa Jf
Tumekoma kucomment vitu tusivyovijua, tunaomba mtusamehe.Kwanzia leo tutaacha kuongea upumbavu!

wako nisiojua kitu Vi rendra
Haya mtoto mzuri...kwa hiyo mimi unaniachaje sasa?
 
Tupe nondo zaidi mkuu
Historia inaanzia mbali sanaaa kabla ya Leornado wa 15th century.

Nilisoma kitabu kimoja zamani kabisa kuhusu hizo nyumba na pyramids styles.

Kabla ya yote unatakiwa ufahamu kuhusu jamii ya Wanefili (kizazi kilichotokana na malaika waliozaa na binadamu na Mungu akawaacha) waliokuwepo tangu wakati wa Nuhu (miaka michache sana baada ya Adam na Eva)

.....hawa walikuja kutowekea kwenye sayari nyingine na wazungu wanawaita Aliens.

Hawa ni viumbe wenye akili nyingi mno ambayo binadamu hawezi kuwakaribia hata punje...ndio waliobuni hizo pyramid na wao pia walishazaa na jamii ya watu wa kawaida kabisa wa kabila dogo la Dogon lililopo huko Mali.

Kizazi chao ndicho kilichojenga kaburi la Pharaoh khufu lenye mlango mmoja mkubwa katikati na miwili pembeni ya wake zake wawili mmoja kulia na mwingine kushoto waliozikwa nae pamoja...na huko mexico ya zamani ikiwa inaitwa kwa jina lingine na Asia waliiga

Mwaka wa 1211 hawa Aliens walikuja kupropose kurudi katika sayari ya dunia kutokana na climate ya huko wanakoishi kutosupport maisha yao...!

Nitaeleza zaidi uhusiano wa Hivi viumbe na Marekani, Israel na Uingereza..........!

Pia kuhusu jamii ya Dogon.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu uli soma shule ya msingi zamani kuwa kulikua na bara moja duniani?
baadae ukatokea mpasuko ndio yakapatikana mabara ya sasa?
Mkuu ni karne nyingi sana zimepita mm naamini walikuepowatu kama sisi hivi tena walioendelea vilivyo ila jamii yao ikaenda ikaisha... ndio maana hata watu wa mwaka 47 hatufanani nao ,na sisi pia hatutafanana na wa mwaka 2050 mabadiliko zaidi yatatokea
Unalosema ni kweli hata mimi ninaamini human race imexisist for millions of years,, Kuna ramani moja alikuwa nayo turkish general wa miaka hiyo ikilionyesha bara la antarctica llikiwa halina barafu. Ramani hiyo inaonyesha mito milima na kila kitu hadi wanyama na imechora hata kabla bara hilo kugunduliwa uwepo wake na zama hizi. Na iko so accurate kwa longitudes na latitudes hadi inastaajabisha kuwa mchoraji atakuwa alichukua vipimo from above.
Na kwasas wamegundua hata ile topograph ni accurate baada ya barafu kuanza yeyuka na kwa kutumia vifaa vya kisasa. Which means bara la antarctica liliwahi kuwa dominated na a human race
 
Once thing I know for sure, the last sapper paint has been modified since then and the original one is no longer available for publicity view.

Kuna uwezekano mkubwa tunaangalia picha isiyo sahihi, maana yake hata majibu hayatakuja sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalosema ni kweli hata mimi ninaamini human race imexisist for millions of years,, Kuna ramani moja alikuwa nayo turkish general wa miaka hiyo ikilionyesha bara la antarctica llikiwa halina barafu. Ramani hiyo inaonyesha mito milima na kila kitu hadi wanyama na imechora hata kabla bara hilo kugunduliwa uwepo wake na zama hizi. Na iko so accurate kwa longitudes na latitudes hadi inastaajabisha kuwa mchoraji atakuwa alichukua vipimo from above.
Na kwasas wamegundua hata ile topograph ni accurate baada ya barafu kuanza yeyuka na kwa kutumia vifaa vya kisasa. Which means bara la antarctica liliwahi kuwa dominated na a human race
mimi naamini ivyo ; ndio mana nmetoa mawazo yangu binafsi ila wakuu wasomi wamekataa wamesema sijui kitu😢
 
mimi naamini ivyo ; ndio mana nmetoa mawazo yangu binafsi ila wakuu wasomi wamekataa wamesema sijui kitu😢
Kuna mtu aliwahi kuokota mwamba ambao ndani yakekulikuwa na ile plug inayokuwa kwenye waya wa kifaa kinachotumia umeme, yani plug ile unayo chomeka kwenye socket.
Hili lilistajaabisha wanasayansi kwakuwa ina maana ile plug ilikuwepo kabla ya ule mwamba kutengenezwa. na mwamba wa vile ile uumbwe process inachukua mamilion ya mwaka.
Wanasayansi walibaki wanajiuliza ina maana ilikuwepo advanced human race hata kabla ya inavyokadiriwa binadamu kuanza kuishi duniani.
Nina amini hata sayansi ina mengi isiyoeleza kuhusu human race inaelekea binadamu alikuwepo duniani mamilion ya miaka na uwa akifika kiwango flani cha civilization labda the clock inaanza upya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom