Kumbe ngamia walikuwa wanapita mpaka baharini Na kwenda bara jingine?
Mkuu ukitaka Mtanzania ajibu logically na rationally utapata jibu siku jua likianguka. Una bahati hujapewa jibu la Mungu ndiye anajua. We are very simple people.Ngamia ndiyo upande uzungukie dunia?
Mleta mada kaleta picha fikirishi zenye kufanana, ukichukulia enzi hizo hapakuwa na teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo.
Kwanini urahisishe jibu kwenye swali gumu?
Hapana mkuu..
Walitumia merikebu yaani majahazi ya upepoKumbe ngamia walikuwa wanapita mpaka baharini Na kwenda bara jingine?
Mkuu Da'Vinci kumbuka mafundi wa babeli walitawanyika na kwenda shm mbalimbali, pia haohao ndio chimbuko ya lugha zote. So hio inaonesha walisambaa dunia nzima. Ujenzi wa aina hio ni wao ndio waliusambaza na ndio maana hayo majengo yalijengwa miaka ya zaman sanaSALUTE COMRADES
Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini!
Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda lingine kusambaza hii teknolojia?
Ikumbukwe mpaka leo hii mzungu hajaweza gundua haya majengo yalijengwa vipi. Yapo bara la Africa, Asia na America.
View attachment 750214
Pia tujiulize kwanini yote yamejengwa na milango mitatu na mmoja mkubwa wa katikati? Nini maana yake? Nini maana ya namba 3?
Leonardo Da'Vinci katika mchoro/picha yake inayofahamika kama The Last Supper, pia ameweka hiyo milango mitatu!
View attachment 750215
What does it mean?
Cc
Palantir zitto junior Malcom Lumumba Astelia
Story zetu za kuchangamsha vijiwe vya kahawa,tunapigana kamba sana kwenye hivi vijiwe uzushi mwingi alafu kila mtu anajua.si ndo fashion ya miaka hiyo... na pia watu walikua wakisafiri kama mnavosafiri sasa hivi.. si ngamia walikuwepo...
vitu vingine nahisi tunavipaga uzito usiostahili, tunavitafutia Hidden secret ambazo hazi exit
Labda speed yake sio constant, na mwanzo speed ya drifting ilikuwa kubwa.continental drift ya mita moja inaweza ichukue miaka elfu moja hizo pyramid hazina muda huo sawa
Kuna series inaitwa Da Vincis Demon inahusu mambo ya uvumbuzi ya kisayansi.
mkuu usijifanye hujanielewa, muingiliano wa watu unatokana na kusafiri kutoka sehemu moja mpaka ingine, na hao wa sehemu hio mpaka ingine tena.. ndio maana kuna watz wako australia wako brazil etc....
waliotoka hapa walifika congo wakongo wakaenda SA wa SA wakaenda kwingine huko wakichukua tamaduni za hapa na pale...mpaka zikafika huko.
maswali tunayafanya wenyewe yawe magumu ... ila yanaweza kuwa mepesi ukitaka. maana hizo siri tangu zimeanza kusemekana sijawahi kuzisikia zimefahamika maana mnaoumiza vichwa mko wengi