Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,560
Tatizo wanadamu wa sasa wana under-rate binadamu wa kale mno. wanahisi ni watu waliokua wakiishi tu kama watu pori hawakujua chochote kuhusu Advanced- technology hapo ndio huwa napinga sanaKuna mtu aliwahi kuokota mwamba ambao ndani yakekulikuwa na ile plug inayokuwa kwenye waya wa kifaa kinachotumia umeme, yani plug ile unayo chomeka kwenye socket.
Hili lilistajaabisha wanasayansi kwakuwa ina maana ile plug ilikuwepo kabla ya ule mwamba kutengenezwa. na mwamba wa vile ile uumbwe process inachukua mamilion ya mwaka.
Wanasayansi walibaki wanajiuliza ina maana ilikuwepo advanced human race hata kabla ya inavyokadiriwa binadamu kuanza kuishi duniani.
Nina amini hata sayansi ina mengi isiyoeleza kuhusu human race inaelekea binadamu alikuwepo duniani mamilion ya miaka na uwa akifika kiwango flani cha civilization labda the clock inaanza upya