kama kazz
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,080
- 576
wanamezwa na samaki kama yona wanatupwa upande wa pili
Naona umeamuwa ufunge kikao Mtoto mzuri•
wanamezwa na samaki kama yona wanatupwa upande wa pili
Eeh mambo yasiwe mengi😂Naona umeamuwa ufunge kikao Mtoto mzuri•
kizazi kijacho ndo kitakua na faida ya kujua kila kitu kinachofanyika sasa hivi kwasababu ya teknolojia iliyopo sasa.nishashau
kuhusu haya jamani 🙆♂️ hata hoja sina
kizazi kijacho ndo kitakua na faida ya kujua kila kitu kinachofanyika sasa hivi kwasababu ya teknolojia iliyopo sasa.
hawata tumia nguvu kujua yanayotokea sasa hiviWatajua endapo watakua na shauku ya kujua, ila kikubwa binadamu sikuzote huwa anafanya yake yaliyopo (present) a yaliyopita si ndwele (ndio kama haya ) huganga yajayo (future)
Nimecheka mpaka watu wananiona chizi aisee dada unejua kunichekesha ulivyoamua kuyamaliza umeona isiwe shidawanamezwa na samaki kama yona wanatupwa upande wa pili
siumizi sana kichwa wakati Musa alipasua maji watu wakapitaNimecheka mpaka watu wananiona chizi aisee dada unejua kunichekesha ulivyoamua kuyamaliza umeona isiwe shida
Angeweka miwili pia msingekosa cha kuandikaSALUTE COMRADES
Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini!
Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda lingine kusambaza hii teknolojia?
Ikumbukwe mpaka leo hii mzungu hajaweza gundua haya majengo yalijengwa vipi. Yapo bara la Africa, Asia na America.
View attachment 750214
Pia tujiulize kwanini yote yamejengwa na milango mitatu na mmoja mkubwa wa katikati? Nini maana yake? Nini maana ya namba 3?
Leonardo Da'Vinci katika mchoro/picha yake inayofahamika kama The Last Supper, pia ameweka hiyo milango mitatu!
View attachment 750215
What does it mean?
Cc
Palantir zitto junior Malcom Lumumba Astelia
Naomba link ya hiyo docMpaka leo hazieleweki..
Biblia inasema hakuna jipya chi chini ya jua, mambo ni yale yale yanajirudia.si ndo fashion ya miaka hiyo... na pia watu walikua wakisafiri kama mnavosafiri sasa hivi.. si ngamia walikuwepo...
vitu vingine nahisi tunavipaga uzito usiostahili, tunavitafutia Hidden secret ambazo hazi exit
Kwa nn mkuu?Da'Vinci,
Hongera sana kwa kuishinda nguvu ya mauti.
Leonardo da Vinci alikuwa ni MALAIKA wa shetani
Namba 3 ni namba muhimu na kubwa kuliko namba zote toka kwenye dini (utatu mtakatifu, kukanwa mara tatu, malaika watatu, ufufuko siku ya 3), hesabu (triangle, dimensions, Triad) hadi kwenye maisha ya kila siku (rangi kuu 3)!!.. Huo ujenzi wa majengo ni kufata principle za Euclidean 3 Space na 3-manifold utaelewa zaid!.. Ikiwa na touch za Lost generration za Aztec, Mayan na Atlantis civilizations.