utoto raha sana
Ukipata jibu ni-tagNani alishinda pambano?
Nani alishinda pambano?
Wazee wa Zamani waongo sana, Utasikia kina Gibson Sembuli walikuwa wakichana nyavu, Nyavu zenyewe za katani sijui zimeoza hazina ubora.Eti Kuna mchezaji gani sijui Alikuwa anapiga Kona halafu anaiwahi mwenyewe anakuja kufunga kumbe unaweza kukuta alipiga kona akawahi sekeseke golini akafunga, kingine eti Golikipa Omary Salehe Ombopa alikuwa ana uwezo wa kugeuka hewani, eti anaruka kulia akiwa hewani anajigeuza anarudi upande wa pili.itabid atafutwe muasisi wa hio story manake naikumbuka kabisa
Cena alifungwa mkono wa kushoto pia apambane na Trish
Hahahaha, story za kitambo hizi, ni km ile ya Carlos kumfungulia malkia au MTU kugeuka chatuitabid atafutwe muasisi wa hio story manake naikumbuka kabisa
funzadumeKwa mujibu wa Wikipedia, pambano la kwanza alishinda huyo jamaa, inasemekana ndiyo pambano pekee Mohammed Ali kupoteza mkanda, mapambano mengine aliyopigwa hayakuwa na mkanda.
Marudiano Ali alishinda.
Mapambano yote mawili yalikwenda mpaka mwisho, 15 rounds.
nahis hizi habar zao ndo zimetufanya tukawa wabovu wamambo ya hesabu na physicsWazee wa Zamani waongo sana, Utasikia kina Gibson Sembuli walikuwa wakichana nyavu, Nyavu zenyewe za katani sijui zimeoza hazina ubora.Eti Kuna mchezaji gani sijui Alikuwa anapiga Kona halafu anaiwahi mwenyewe anakuja kufunga kumbe unaweza kukuta alipiga kona akawahi sekeseke golini akafunga, kingine eti Golikipa Omary Salehe Ombopa alikuwa ana uwezo wa kugeuka hewani, eti anaruka kulia akiwa hewani anajigeuza anarudi upande wa pili.
Haahaaahaaaaaaa...Wazee wa Zamani waongo sana, Utasikia kina Gibson Sembuli walikuwa wakichana nyavu, Nyavu zenyewe za katani sijui zimeoza hazina ubora.Eti Kuna mchezaji gani sijui Alikuwa anapiga Kona halafu anaiwahi mwenyewe anakuja kufunga kumbe unaweza kukuta alipiga kona akawahi sekeseke golini akafunga, kingine eti Golikipa Omary Salehe Ombopa alikuwa ana uwezo wa kugeuka hewani, eti anaruka kulia akiwa hewani anajigeuza anarudi upande wa pili.