Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Katika hali inayoashiri sasa kila mtu atafune chake mapema nikiwa mmoja wa waliochangia million kadhaa zilizotangazwa
hapo majuzi kwa kweli naona sasa tff inaturudisha fat..kama mkumbakavyo muhidin ndolanga aliondoka kwa kesi ya wizi na sasa huyu bwana anataka tumpelekee takukuru hawa takukuru awana kazi nyingine kila siku fat.tff jamani
kwa mliouona uwanja akuna ukweli halisi wa hela iliotangazwa na mbaya zaidi napenda kuwahakikishia kuna vip tulikuwa tumesimama tumeingia saa tisana nusu viti vyote vimejaa na watu wamesimama ikabidi tuendelee kusimama
sasa ukiangalia kwa upande wa jukwaa la orange na green aibu watu wamepakatana sasa
embu leodgar tenge mwogopeni mungu jamani kumbukeni mkiwa hivyo akuna tofauti na maharamia wa somalia wanachofanya wanachukua hela kwa mitutu nyie mnachukua kwa kugaiana sio vizuri hamna hata haya ya kuzaliwa jamani
loh
kidumu chama cha majambazi mpaka kwenye mipira
hapo majuzi kwa kweli naona sasa tff inaturudisha fat..kama mkumbakavyo muhidin ndolanga aliondoka kwa kesi ya wizi na sasa huyu bwana anataka tumpelekee takukuru hawa takukuru awana kazi nyingine kila siku fat.tff jamani
kwa mliouona uwanja akuna ukweli halisi wa hela iliotangazwa na mbaya zaidi napenda kuwahakikishia kuna vip tulikuwa tumesimama tumeingia saa tisana nusu viti vyote vimejaa na watu wamesimama ikabidi tuendelee kusimama
sasa ukiangalia kwa upande wa jukwaa la orange na green aibu watu wamepakatana sasa
embu leodgar tenge mwogopeni mungu jamani kumbukeni mkiwa hivyo akuna tofauti na maharamia wa somalia wanachofanya wanachukua hela kwa mitutu nyie mnachukua kwa kugaiana sio vizuri hamna hata haya ya kuzaliwa jamani
loh
kidumu chama cha majambazi mpaka kwenye mipira