Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,674
- 1,685
Huyu Mrundi na TFF wanalo lao jambo. Jana asubuhi likisikiliza kipindi cha michezo cha asubuhi cha radio E Fm nilisikia wakisema timu imechezo mechi 10 na mfululizo na kushinda mbili tu ndani ya dakika 90. Hii inakaaje?Umeongea kwa hasira sana..anyways yote uliyosema ni kweli kasoro moja tuu.
Hilo la watanzania kuwa wapuuzi ni kweli maana haiwezekani tukaacha kuwapa national timu wazawa ata kwenye mashindano haya ya chan. Hii ilikuwa fursa ya pia kuwatangaza makocha wetu wazawa